Fortnox
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,160
- 11,214
I'm speechless
Nilisema mimi huyu dada ni mtu na nusu
Yaani ni mtu na nusu na kipande tena
Vocha za voda na airtel jamani
Mitandao ya kitajiri bando ningepata wapi mie???
Sasahivi naserereka bando wiki nzima
Kotekote
Boss ledi ni mtu na nusuuuuu
Boss ledi ni pisi kali
Boss ledi ana roho ya pekeyake
Boss ledi hana uswahili
Boss ledi sifa zooooote zake
Bwana akubarikie na kukulinda mahondaw
Ukapate mafwedha yaani yakatiririke kama mvua
Uzidi kubarikiwa mno katika jina la Yesu
![]()


we dogo una kipaji Cha uchawa sema hujajua tu 






.
.



