Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,290
Ngoja nimalizie airtel sasa !
Woyoooooooooo![]()
Woyoooooooooo![]()
EwaaaaaaaaTulia nimalizie airtel sasa !
Woyooooooooo





































































Aimeeeeeeeeeennnn Hallelujah!!!!I'm speechless
Nilisema mimi huyu dada ni mtu na nusu
Yaani ni mtu na nusu na kipande tena
Vocha za voda na airtel jamani
Mitandao ya kitajiri bando ningepata wapi mie???
Sasahivi naserereka bando wiki nzima
Kotekote
Boss ledi ni mtu na nusuuuuu
Boss ledi ni pisi kali
Boss ledi ana roho ya pekeyake
Boss ledi hana uswahili
Boss ledi sifa zooooote zake
Bwana akubarikie na kukulinda mahondaw
Ukapate mafwedha yaani yakatiririke kama mvua
Uzidi kubarikiwa mno katika jina la Yesu
![]()
Hizi sifa hiziiI'm speechless
Nilisema mimi huyu dada ni mtu na nusu
Yaani ni mtu na nusu na kipande tena
Vocha za voda na airtel jamani
Mitandao ya kitajiri bando ningepata wapi mie???
Sasahivi naserereka bando wiki nzima
Kotekote
Boss ledi ni mtu na nusuuuuu
Boss ledi ni pisi kali
Boss ledi ana roho ya pekeyake
Boss ledi hana uswahili
Boss ledi sifa zooooote zake
Bwana akubarikie na kukulinda mahondaw
Ukapate mafwedha yaani yakatiririke kama mvua
Uzidi kubarikiwa mno katika jina la Yesu
![]()
































Wapiii 🤣🚶🏻♀️🚶🏻♀️Labda ametype haraka haraka![]()
😁😁😁 wala
Unakasagia kunguni
KhaaaaaaHuyu dada nampenda buree
Super woman halafu ni boss sasa
Mungu atupe nini selfika???
Gunia la chawa?????
Mungu ametupa boss lady![]()