MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,512
- 15,094
Hii picha imeniibua mafichoni nlikuwa naangalia Uzi kisirisiriHiiiiiiii,,,View attachment 1244482
Hii picha imeniibua mafichoni nlikuwa naangalia Uzi kisirisiriHiiiiiiii,,,View attachment 1244482
Uuunh, will you say YES if i ask you bout that...Abeeeee
Unataka kunipeleka huko na mimi jamani


Hesabu kwa ufasahaView attachment 1245871
Sidhani kama kuna mtu hapendi vitu vizuri, ukiona hivyo ujue maybe ndio anaanza kujipanga. Lakini pia mara nyingi wanaume huwa sio experts wa hayo mambo, wao hununua tu vyombo ilimradi wapike.Mzee baba nunua mwiko mzuri, non sticky sauce pan n.k
Ukiwa na hayo mavitu hata mchuchu akikutembelea anakuwa anatamani arudi tena...
Sasa ukiwa na sufuria la wapikia supu ya makongoro au utumbo inakuwa noma sana...
TeenaaaaaDah nimechelewa![]()
Will say YES ×10!!Uuunh, will you say YES if i ask you bout that...
Niliona umelike ile post nikajua nawe umepapenda...
MorningSidhani kama kuna mtu hapendi vitu vizuri, ukiona hivyo ujue maybe ndio anaanza kujipanga. Lakini pia mara nyingi wanaume huwa sio experts wa hayo mambo, wao hununua tu vyombo ilimradi wapike.
Hujafika tu
Nakuja soon
Good morning auntie, how are you?Morning
Sidhani kama kuna mtu hapendi vitu vizuri, ukiona hivyo ujue maybe ndio anaanza kujipanga. Lakini pia mara nyingi wanaume huwa sio experts wa hayo mambo, wao hununua tu vyombo ilimradi wapike.
Will say YES ×10!!
Nimepapenda kweeli, naona pametulia mandhari inavutiaa!! Ndo kaugonjwa kangu hako!
Pampula najua hukosekani kwenye hao mafisi.Kuna mafisi yanatamani kua hicho kiti
Yaani wewe kama sio bachela sugu basi ......🙌🙌🙌Yeah, ndio nampa ujuzi kidogo...heheh
Halafu hata sio aghali, kuna vile vinauzwa second hand vipo in good shape tu...
Ya Yanga banaa
Ndo niko hapo mimi jamaniHujafika tu
Am good my autie!Good morning auntie, how are you?
Yaani wewe kama sio bachela sugu basi ......![]()