Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,406
Mama Mchungaji huwa anakuwepo kimya kimya tu. Hatari sana!
Mama Mchungaji huwa anakuwepo kimya kimya tu. Hatari sana!
Nilikuwa rohoni nazoom mambo; tupo pamoja kwenye picha zote 3
Unaendelea kushusha vitu au unapumzika kidogo Boss Lady?🥱🥱🥱 !!!!![]()
Staili gani hiyo?
Furaha ndo kila kitu Boss Lady. We furahi tu ili sisi huku tuendelee kufaudu!



Itakuwa ni ile "akachuchuu... Awanawee..."Staili gani hiyo?
Staili gani hiyo?









!!!Mbavu zangu ma mchungaji pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!! mi mwenyewe nimejicheka kwanza hio staili hata masai kavamia disco inanafuuu

Mama Mchungaji naye banaStaili gani hiyo?










Hahahahah ndiyo ipi hiyo anko?Itakuwa ni ile "akachuchuu... Awanawee..."
Itakuwa ni ile "akachuchuu... Awanawee..."



hahahaaa .. Nyie watu mnaniua mbavu hukuuuuuuu!!Mtumishi I can dance like nobody's business....Mama Mchungaji naye bana
Ukiambiwa staili ya Mbowe na Bawacha kama vijana wa IG utaielewa?![]()
Wadogo zako wakiwa likizo niliwaona wanapuliza filimbi na wanakunja miguu na kamkono... Hata sijui ni muziki wa wapiHahahahah ndiyo ipi hiyo anko?




Umenifanya niikumbuke Kashai ghaflahahahaaa .. Nyie watu mnaniua mbavu hukuuuuuuu!!
Weka hako ka clip tuione Boss Lady!!!Mbavu zangu ma mchungaji pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!! mi mwenyewe nimejicheka kwanza hio staili hata masai kavamia disco inanafuuu
![]()

🤣🤣🤣 Na mimi wakiwa likizo wananifundisha styles zote zinazotrend huko dunianiWadogo zako wakiwa likizo niliwaona wanapuliza filimbi na wanakunja miguu na kamkono... Hata sijui ni muziki wa wapi![]()