Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,305
Hahahaaa...labda nilikogeuka nyuma sura isionekane lol hahaaa!!! Ngoja nione niitrim
Weka hako ka clip tuione Boss Lady![]()
Weka hako ka clip tuione Boss Lady![]()
Yaani mtu unakula hiki kimlo hiki halafu unakwenda zako huko ukiwa OK na watu wanakuona kabisa unacheka ukiwa OK. Ajabu sana


less sugar,, more protein,, good choice
Hayo ndo maneno sasa. Au unaweka tu for 3 seconds kama ile nyingineHahahaaa...labda nilikogeuka nyuma sura isionekane lol hahaaa!!! Ngoja nione niitrim

Hahahaaa... chumba cha kwanza kupanga wakati naanza kazi nilipanga kashai lol!!! ✌️🤣🤣🤣 Na mimi wakiwa likizo wananifundisha styles zote zinazotrend huko duniani
Na mimi wakiwa likizo wananifundisha styles zote zinazotremd huko duniani




ni siri ya lizzy ya huo mwili mdogo aliokuwa naoYaani mtu unakula hiki kimlo hiki halafu unakwenda zako huko ukiwa OK na watu wanakuona kabisa unacheka ukiwa OK. Ajabu sana![]()
Uwe na shuga usiwe nayo huo mlo hushibi mkuu acha kusifialess sugar,, more protein,, good choice









weeehh thubutuuuu.... clip hapana msukuma labda selfii ndio zimejaaaa😜Hayo ndo maneno sasa. Au unaweka tu for 3 seconds kama ile nyingine![]()
Eti mnaitana kwa filimbi🤣🤣
Tuna filimbi mbili tumeachiwa, tunazitumia kuitana na wife...
Kashai ya Bukoba au Kashai ya wapi?Hahahaaa... chumba cha kwanza kupanga wakati naanza kazi nilipanga kashai lol!!!![]()
Anko wako haongelei filimbi filimbi Mama MchungajiEti mnaitana kwa filimbi![]()







mzee mie nakula kumaliza,, huo mlo wa lizzy ni mzuri kwa body plan aliyoichagua,,Huo mlo hushibi mkuu acha kusifia![]()
Atakuwa jirani yangu huko BukobaKashai ya Bukoba au Kashai ya wapi?
Mmmh Mtumishi? Leo umeamkia upande upi kwani?Anko wako haongelei filimbi filimbi Mama Mchungaji![]()
Anko wako haongelei filimbi filimbi Mama Mchungaji![]()







Kashai ya Bukoba eeh!? Wanafunzi wa Ihungo tulikuwa tunashuka huko kubangaiza totozi enzi zileeeeee! Kulikuwa na Yutong moja fundi cherehani hapo Kashai mweh! Tukilipwa tu vihela vya usafiri twote tunaipelekea...but we survived!Kashai ya Bukoba au Kashai ya wapi?




🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Anko unanivunja mbavu ujue
Huyo siwezi kumuongelea hivyo,ni mtoto wa dada yangu kabisa. Kuna muda na mimi najikuta navizia picha zake humu ezi ifu sio mwanangu... Jf shwaini kabisa![]()
Tumesha zoea ujinga.Eti mnaitana kwa filimbi![]()
Kwema kabisa Anko, sijui nyie huko. Nimekumbuka aunt alivyotishia kufunika ungo akukomeshe na kigugumuzi chakoTumesha zoea ujinga.
Kwema lakini?