Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,305
Hapana mkuu mie napenda sana utani!!
Hapana mkuu mie napenda sana utani!!
Kidinda...Mitaa ya mnada wa ng'ombe
Ila DP Yako Ni Masha'Allah WallahHapana mkuu mie napenda sana utani!!




Mmh mbona kama sikuelewi mpendwa? Em funguka vizuri
Sawa mkuuKidinda...
Nipo mjini mitaa ya NMB BANK hapa ukifika mjini nicheki
Mbele za Watu Hivi? Ujue Nina aibu WallahMmh mbona kama sikuelewi mpendwa? Em funguka vizuri


ndio rafiki....Yani unaogopa kwenye comment![]()
Kweli huna mapafu wewe



nilikua nawatania mie!!Sawa mkuu
Aibu za nini tena? Mimi sina aibu hata mbele za watu
Mlimani beach
Siyo mkwara mkuu kaa mkao
Siyo mkwara mkuu kaa mkao
Umenunua wapi hizi mkuu?
Nitume mkuu nikuleteee 😀😀😀😀.. ila hapa nilipochukulia ni bahari beach hapa OryxUmenunua wapi hizi mkuu?