andjul
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 19,031
- 120,513
Clip inakuujaaaaa!! Ole wenu muisambazeeeeUnaendelea kushusha vitu au unapumzika kidogo Boss Lady?







Picha zake zinahitaji timing kali ajabu. Mi nilishabahatishaga moja tu na nimeilamineti na kuikuza ipo hapa sebuleni Misungwi. Kama una nyingine huko nikumbuke na mie shemeji!
Huyo siwezi kumuongelea hivyo,ni mtoto wa dada yangu kabisa. Kuna muda na mimi najikuta navizia picha zake humu ezi ifu sio mwanangu... Jf shwaini kabisa![]()


Nitakuja nyumbani kuwasalimu ankoKuna muda najionaga mjinga ujue![]()
Upambe Mtumishi, upambePicha zake zinahitaji timing kali ajabu. Mi nilishabatishaga moja tu na nimeilamineti na kuikuza ipo hapa sebuleni Misungwi. Kama una nyingine huko nikumbuke na mie shemeji!![]()
Siondoki hapa mpaka niipate hiyo clip. Today is a good day!Clip inakuujaaaaa!! Ole wenu muisambazeeee![]()



Kwema kabisa Anko, sijui nyie huko. Nimekumbuka aunt alivyotishia kufunika ungo akukomeshe na kigugumuzi chako






Amen. Mungu azidi kuwatunza Anko; Ibilisi asipate nafasi kwenu
Ule ujinga sikuurudia tena,miaka kumi na...imepita sasa.
Namshukuru Mungu amenipa rafiki wa kisukuma.
Tupo vizuri wote mamaangu
One of the best power couples I know. Yaani kuoa au kuolewa na Msukuma ni mibaraka tosha mwanzo mwishoAmen. Mungu azidi kuwatunza Anko; Ibilisi asipate nafasi kwenu









Karibu sana mama, kwani ulikumbwani?Nitakuja nyumbani kuwasalimu anko
Kama vile kuoa/kuolewa na mnyaki. Si unamuona Anko wangu katulia tuli? Karibu sana Uyole MtumishiOne of the best power couples I know. Yaani kuoa au kuolewa na Msukuma ni mibaraka tosha mwanzo mwisho![]()
Amen.Amen. Mungu azidi kuwatunza Anko; Ibilisi asipate nafasi kwenu
Siondoki hapa mpaka niipate hiyo clip. Today is a good day!![]()
Haya ngoja mi niondoke zangu tu sasaHahahaaa...Nimewatania weeee nitume sipendi


. Thanks for everything Boss Lady. Enjoy your weekend...Baadaye!Karibu sana, ndi kifuki ne kipatala kya Mloganzira
Na baraka zako zimechangia kwa kiasi kikubwa sana.One of the best power couples I know. Yaani kuoa au kuolewa na Msukuma ni mibaraka tosha mwanzo mwisho![]()
Ooh kumbe hapo tu Anko; nitakuja basiKaribu sana, ndi kifuki ne kipatala kya Mloganzira
Mkuu leo bahati uliyonayo si ya nchii hiiiNimeona Boss Lady. Baby face indeed! Rangi ya Mtume. cocastic yuko wapi anapitwa huku?