Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Najitahidi sana kubalance chakula Chief..
Huyo alifeli kubalance msosi,alikuwaga kimbaombao kuzidi Mimi.View attachment 2147422
Nimeshaona vimbaumbau zaidi yako vinakuwa Yutongs. Yaani ukipata mimba ikakukubali ukaYutongika halafu ukijifungua unakuwa mzembe kurudi ulivyokuwa ndo imetoka hiyo. Ila endelea kubalansi msosi chifu. Hiyo ndiyo siri kubwa ya kubakia kimbaumbau. Huoni vimisosi vya Lizzy. Ukiweza kumenteini ulaji wa hivyo na vimazoezi vya hapa na pale, utaendelea kuwa kimodo tu mpaka unapata vilembwe...
 
Nimeshaona vimbaumbau zaidi yako vinakuwa Yutongs. Yaani ukipata mimba ikakukubali ukaYutongika halafu ukijifungua unakuwa mzembe kurudi ulivyokuwa ndo imetoka hiyo. Ila endelea kubalansi msosi chifu. Hiyo ndiyo siri kubwa ya kubakia kimbaumbau. Huoni vimisosi vya Lizzy. Ukiweza kumenteini ulaji wa hivyo na vimazoezi vya hapa na pale, utaendelea kuwa kimodo tu mpaka unapata vilembwe...
Asante sana Kwa ushauri mkurugenzi😀
 
Wikiendi noma nimeishiwa nimēkuja tena kwa atm
Hella.jpg
 
Back
Top Bottom