Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
MuelezeeUsiseme hivyo kiongozi. Ukija kukamata mimba unaweza kujikuta unakuwa Yutong mpaka unajishangaa![]()

Tena atatamani
Kunusa kikwapa
Tena atafumuka
Kama yutong
Yenye terious
MuelezeeUsiseme hivyo kiongozi. Ukija kukamata mimba unaweza kujikuta unakuwa Yutong mpaka unajishangaa![]()

Nitajitahidi nile kidogoMuelezee
Tena atatamani
Kunusa kikwapa
Tena atafumuka
Kama yutong
Yenye terious
Mkuu...Asante sana Kwa ushauri mkurugenzi![]()




Si uliyaanzisha wewe haya mtaalamMkuu...
Kiongozi...
Chifu....
Bosi....
Mkurugenzi....
Mtakatifu bana![]()
Twende nayo tu hakuna shida bosi wangu. Huo mjadala tulishaumaliza. Hakuna shidaSi uliyaanzisha wewe haya mtaalam

Ndiyo mkuuTwende nayo tu hakuna shida bosi wangu. Huo mjadala tulishaumaliza. Hakuna shida![]()
Prayer mountain chief?


Mbona wewe hujaenda kulala?








Nimetoka kumlaza baby mkubwa, hapa napambana na baby wadogo 🤣🤣🤣🤣Mbona wewe hujaenda kulala?
Baba Mchungaji yuko wapi bado uko mitandaoni nyakati hizi?![]()
Baba yao yuko wapi? Au anajiandaa na huduma ya kesho/Jumapili? Mngegawana. Huyu anamlaza huyu na mwingine anamlaza yule....Nimetoka kumlaza baby mkubwa, hapa napambana na baby wadogo![]()
Kuna mtu namsubiri

Yeah yeye anahitajika kurauka baadaye; nawahandle tu hawa vizuriBaba yao yuko wapi? Au anajiandaa na huduma ya kesho/Jumapili? Mngegawana. Huyu anamlaza huyu na mwingine anamlaza yule....
Tunaomba uselfike kwanza mkuuHuu uzi umegeuka wa usiku wa manane..
Nawasalimu na kuwatakia usiku mwema in advance
Nishaondoka huko kiongozi,Prayer mountain chief?
Pray for me too![]()
Natania

Nakukubali sana mkurugenzi..Nishaondoka huko kiongozi,
Nikipata chance tena ya kwenda nitakuombea boss wangu.
