Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Heaven Sent mamaaaa

Hatua nyingi bila Mungu
Maendelea bila Mungu
Mwisho ni aibu ni bure eeh
Usianze wala kuenda bila Mungu
Hutafika mbali wewe mwite
Maana huwezi mwenyewe
Uso wa Mungu ukiwa nawe
Utakufanikisha wewe utakushindia
Utakuwa juu
Tafuta sana kuwa na Mungu
Tunza sana uwepo wa Mungu
Maana huo ni ufunguo wa maisha
Tafuta sana kuwa na Mungu
Tunza sana uwepo wa Mungu
Maana huo ni ufunguo wa maisha yako

Ameahidi atakupatia
Ukimwomba lolote
Omba sana uwepo wa Mungu maishani mwako (halleluyah)
 
Tafuta sana kuwa na Mungu
Tunza sana uwepo wa Mungu
Maana huo ni ufunguo wa maisha
Tafuta sana kuwa na Mungu
Tunza sana uwepo wa Mungu
Maana huo ni ufunguo wa maisha yako

Ameahidi atakupatia
Ukimwomba lolote
Omba sana uwepo wa Mungu maishani mwako (halleluyah)



Sent using Jamii Forums mobile app
Amen

‘Nina haja na wewe’ ngoja nisikilize hii tenzi mpaka nitaposinzia.
 
Tafuta sana kuwa na Mungu
Tunza sana uwepo wa Mungu
Maana huo ni ufunguo wa maisha
Tafuta sana kuwa na Mungu
Tunza sana uwepo wa Mungu
Maana huo ni ufunguo wa maisha yako

Ameahidi atakupatia
Ukimwomba lolote
Omba sana uwepo wa Mungu maishani mwako (halleluyah)



Sent using Jamii Forums mobile app
I wanna be right there where you are Lord
Won’t you let me be there lord, in your Presence
I wanna be right there in Your Presence
I wanna be in Your Presence Lord
 
Uso wangu utakwenda na wewe, na wewe
Na mimi nitakupa raha, raha
Uso wangu utakwenda na wewe, na wewe
Na mimi nitakupa raha, raha

Mwenyewe siwezi, siwezi
Bila wewe, siwezi
Mwenyewe siwezi, siwezi
Bila wewe, siwezi
Siwezi siwezi
Bila wewe, siwezi..



Sent using Jamii Forums mobile app
I wanna be right there where You are
In Your Presence oh Lord
I wanna be right there You are
I wanna be in Your Presence

Lord I wanna be, in Your Presence
Lord I wanna be, in Your Presence
 
Back
Top Bottom