Selfika na JF: Snap it. Show it

Ya usiku mwingi

Ni balaa

Kwa nilivyosikia

Ni mateso bila chuki
 
.. tatizo Mzee Baba@Extrovert siyo mvumilivu ahahah
 
.. tatizo Mzee Baba@Extrovert siyo mvumilivu ahahah
Kule kwenye siasa hata uwe mvumilivu vipi,Kuna watu wanaboa wewe!

Unashangaa upo nyumbani,unakula Giza afu Kuna mwehu yupo anasifia serikali kwenye suala na umeme na amekomalia kweli kuipamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…