Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,404
Asante kwa kuniita Boss Lady. Tena nimekutwa ndo nataka kuchaji simu. Yaani hapa simu iko kwenye 2% lakini napeta nayo tu yaaniShimba Ya Buyenze unapitwa hukuuu!



Asante kwa kuniita Boss Lady. Tena nimekutwa ndo nataka kuchaji simu. Yaani hapa simu iko kwenye 2% lakini napeta nayo tu yaaniShimba Ya Buyenze unapitwa hukuuu!



Aisee vinaniharibiaga sana pozi nilisahau kuvipozishaMama malezi, mtoto mwenye umbo lake, rangi, urefu, mie napenda vidole hivyo sasa,awwwww
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hebu tuianze hii vita mapema, naona nataka kutishikaHapo palipozibwa kopa pasikutishe. Ni kupambana tu mkuu...liwalo na liwe!
Sawa ndo uposti tena familia yako haijalishi umeombwa au vipi!Hapa si umeona amefanya kama kimbunga
Akiombwa hapo hapo ndo hatoi.
Ila nae hajambo jamanii.. mmmh
Mimi mtu wa rohoni, sipitwi kizembe eti. Naingia tu mara paa, mara kitu kimeyeyuka ila nilishakisave. Una mabalaa wewekwani we hilo balaa umeliona wapi? Usiwasikilize hao ni waongo tyuuh lol.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hii tuilaminate tuining'inize ukutani kabisa mkuuQuotation yangu huwa nairudia hapa mara kwa mara...
"Hakuna Mnyaki asiye na (li)kishundu. Ogopa matapeli"
Hakuna shida namhala. Na mabango kibao







nataka kuona Pete mama malezi bhana, toa copa hizo lol. Sikuwahi kujua kama mama nae anacho, until now
Mkuu umeona kwa macho ya ndani sanaa...Umeona kopa
Mimi nimeona hadi
Viji kopa kopa
Vingiii![]()


Mshindi alishapatikana kitambo jamani mweeehHapo palipozibwa kopa pasikutishe. Ni kupambana tu mkuu...liwalo na liwe!
Mimi mtu wa rohoni, sipitwi kizembe eti. Naingia tu mara paa, mara kitu kimeyeyuka ila nilishakisave. Una mabalaa wewe
Sent using Jamii Forums mobile app





mama malezi nawee umeona? Jaman kwann sasa si ugelala tyuuh,. Hadi ukasave tena lol. HahahahahKwa kweli tunawezeana na mafundi zangu.Fundi wako anakupatia balaabinamuu


Ukipata ABC uniambie na mimi pakuanzia. Af madhabahuni hakuna watu wengi, kwahiyo hii vita tunaiweza kabisa hii.Huko wala sipagusi mkuu wangu. Naongea na mwanasheria wangu kuhusu usajili wa kanisa. Sitaki distractions. Total focus![]()
Weeeehhh. DuhhhhMimi mtu wa rohoni, sipitwi kizembe eti. Naingia tu mara paa, mara kitu kimeyeyuka ila nilishakisave. Una mabalaa wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umeona kwa macho ya ndani sanaa...![]()

Wako vzr aseehh...mpk raha
Vita ni vya Bwana mkuu. Tusiogope!Ukipata ABC uniambie na mimi pakuanzia. Af madhabahuni hakuna watu wengi, kwahiyo hii vita tunaiweza kabisa hii.
Hili jina tulifuta hiliHahaaa ..hatariii!!!mzushi upooo