Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mama nisaidie vizuri hapo kwenye kopa. Nataka nijilipue mimi, nimekata shauri
Huo ni mkono wa kulia bana. Nina vidole virefu sanana vimeachana; mara nyingi kwenye picha vinaniharibia pozi hadi nikumbuke kujipozisha; ndiyo maana most of my pics huoni vidole. Afu wahenga wakati mwingine hata Pete hatukumbuki tumeziacha wapi.
 
Huo ni mkono wa kulia bana. Nina vidole virefu sanana vimeachana; mara nyingi kwenye picha vinaniharibia pozi hadi nikumbuke kujipozisha; ndiyo maana most of my pics huoni vidole. Afu wahenga wakati mwingine hata Pete hatukumbuki tumeziacha wapi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unasahau vipi Pete?

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom