Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mama nisaidie vizuri hapo kwenye kopa. Nataka nijilipue mimi, nimekata shauri
Huo ni mkono wa kulia bana. Nina vidole virefu sanana vimeachana; mara nyingi kwenye picha vinaniharibia pozi hadi nikumbuke kujipozisha; ndiyo maana most of my pics huoni vidole. Afu wahenga wakati mwingine hata Pete hatukumbuki tumeziacha wapi.
 
Huo ni mkono wa kulia bana. Nina vidole virefu sanana vimeachana; mara nyingi kwenye picha vinaniharibia pozi hadi nikumbuke kujipozisha; ndiyo maana most of my pics huoni vidole. Afu wahenga wakati mwingine hata Pete hatukumbuki tumeziacha wapi.
unasahau vipi Pete?

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom