Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

1. Nimekariri tu mfuko wa Ukwasi/ ukwasi fund.. mingine mpk nisome kipeperushi na kinaishigi tu huko ofsn, so ni mpk kesho.

Ukwasi fund hii kianzio kima cha chini ni laki 1 ‘ yan pale unapofungua account na ukiendelea kuweka ni kuanzia sh 10000 na zaidi
Ukwasi fund ukitaka kutoa hela zako ni unaandika barua (utazikuta crdb) within 3 work days mshiko wako unapata.

faida n 12% kwa mwaka ya pesa yako utakayokuwa umewekeza .
Kila mwezi salio lako lilipo unalitafutia rate ya 1%… next month lile salio tena baada ya kulitafutia rate ya 1% unalichukua unatafutia tena 1% unapata balance.. so the circle wil continue on that way

Nb. Nimechoka kutype
Niulize nikujibu
Asante sana..kwahio nikitaka kuanza huu mchakato niende CRDB au Kule UTT?
 
Nimeiona hiyo Simply Fresh. I might give it a try…

Kingine ni chicken wings! I’m not getting chicken wings ever again from any of these places.

They are a joke!

It’s like these restaurateurs go to America and Europe, take photos of the menu books, come back and print-copy their own, and that’s it.

Three different occasions now I’m ordering “mouthwatering chicken wings” only to be majorly disappointed.

I’m done with them!
Yeahh...you should definitely check it out. I'll take you.....😉

😆😆😆😆
Umenikumbisha kuna siku nilienda Pizza Hut. Kwenye menu wameandika serving ya wings ni 8 pieces...so I was like "Yeahh, I'll have that!"....then they brought 4 pieces of wings cut in half😐
....and they weren't all that either.🥴

So I get ya! Wanazingua sana hawa jamaa. Sijui wanashindwa nini kuandaa vitu vizuri. Yani hata mimi nawashinda nikisema nitengeneze mwenyewe.
 
IMG_20211120_172001.jpg
 
Back
Top Bottom