Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jaman mama cocastic atakuja kuniua pressure km sio sonona, eti nikipata GPA ya kuanzia 4.3 atanipa zawadi kubwaaa ambayo sijawahi kuipata wala kuijua. Hivi anadhan mchezo eti eeeeh, kwa ubongo gani nilionao sasa? anipumzishe kwanza, ndo kwanza likizo imeanza rasmi kaamua kunipa stress woiiiiiiiiih. Akaaaah sitakiiiii.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Screenshot_20220308_081528.jpg
 
Jaman mama cocastic atakuja kuniua pressure km sio sonona, eti nikipata GPA ya kuanzia 4.3 atanipa zawadi kubwaaa ambayo sijawahi kuipata wala kuijua. Hivi anadhan mchezo eti eeeeh, kwa ubongo gani nilionao sasa? anipumzishe kwanza, ndo kwanza likizo imeanza rasmi kaamua kunipa stress woiiiiiiiiih. Akaaaah sitakiiiii.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Mimi mwaka wa mwisho ulivyofika,nilisoma kumaliza
Wakati naanza nilikuwa na moto na mbwembwe na target kibaomambo yalivyokuwa si mambo nikawa natafuta nimalize salama.
 
Back
Top Bottom