Selfika na JF: Snap it. Show it

We si unasemaga unajua pa kumpata usituzunguke


Halafu nimekumiss siku hizi unapotea kama balimi
Na Mimi huwaga namnyanyasa kwenye anga zangu Fulani
.

Kumbe balimi zimepotea??
Nitajitahidi kutokuwa adimu kama Kilimanjaro .
Stress tu za maisha,maisha magumu yanapelekea Hadi nakosa bando .nasubiri nihotspotiwe ndipo niingie mitandaoni kuchungulia.
 
mkuu si kuna machine za kufulia na hizi ndio kazi zake, unarudi kupumzisha fuvu umepuyanga zaidi ya 50km.. nianze kuoga oga kutafuta nini
cha kwanza nikiinga nawasha AC kama suport document ya kupata usingizi
Mashine haitakatishi nguo. Hatupo Switzerland Wala Canada hapa ni 30°c . kola inachafuka vilivyo haiwezekani ikatakata kwa kuzungushwa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…