mkuu si kuna machine za kufulia na hizi ndio kazi zake, unarudi kupumzisha fuvu umepuyanga zaidi ya 50km.. nianze kuoga oga kutafuta nini 😁😁😁😁 cha kwanza nikiinga nawasha AC kama suport document ya kupata usingizi
Na Mimi huwaga namnyanyasa kwenye anga zangu Fulani
.
Kumbe balimi zimepotea??
Nitajitahidi kutokuwa adimu kama Kilimanjaro .
Stress tu za maisha,maisha magumu yanapelekea Hadi nakosa bando .nasubiri nihotspotiwe ndipo niingie mitandaoni kuchungulia.