Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,253
Doooh
Hapa umekuwa mkweli





Acha unafiki.
Mbona hamjawahi nisifia na hizo short hair.
Doooh
Hapa umekuwa mkweli





Wewe naenajua ila wee ulikua unaelekea wapi?
HapanaUsinambie ni trip ya unyakini?![]()
Punguza nongwaUsinambie ni trip ya unyakini?![]()
Mmh sidhani rafiki ..Mbona unapendezea
Una mguu wa kiatu
Eti


Hapa umekuwa mkweli




hivi wee kwann ni mgomvi sana? Mie sitaki ugombanishi lol🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 naimagine picha haijiiiiiii😂😂😂😂!!!dada angu aliwahi biringika toka ngazi ya juu hadi chini. Lol
Nitakusaidia kuwatoa mbeleWale wa Mwanitesa united wapite mbele![]()
acha tu.. hapa penyewe nimechukue suite ila cha ajabu usingizi haupo wala hakuna dalili.. jamani 😔😔😔Mwili unapewa raha huo, basi tu umegoma kubongeka
Usiwasikilize, weka short hair, au suka mitindo mbali mbali, usi weave.Kuna watu wananidis nazo..wanasema sijiweki kidada
Lol asante dia!!✌️😂😂😂😂Mkanda bana tumbo umehusika hapo
Kaa kwa utulivu
Aya Anza kubet basi.
Unadhani Nini kilitokea hapo?

MweeehUsiwasikilize, weka short hair, au suka mitindo mbali mbali, usi weave.

Ooooh hapo sawa.Hapana
Nilikuwepo tu