Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Acha ukuda wigeDuh
Limenishuka![]()

Acha ukuda wigeDuh
Limenishuka![]()

Eeh kweli kabisa ..
Mwili unapewa raha huo, basi tu umegoma kubongekaSanaaa hapa nachart huku naogelea kwenye Jacuzzi.. mambo swafii mamaaaa 😀😀😀
Naomba training ya kutembelea high heels... jana nilitia aibu 🤣🤣🤣😜😜!! Badae ntaselfika uone nivokua natembelea ukutani yani bila kushika ukuta/ Kitu utacheka ufeeee🤣🤣!!Abee mdogo angu 😂😂😂😂
Kule kwenye hostel Zako za magu





najua ila wee ulikua unaelekea wapi?😂😂😂😂Jitahidi utazipata Mdogo angu 😜Watu na nyama zao, hawana wasi wasi.![]()
Nilikuweponajua ila wee ulikua unaelekea wapi?

Weka short hair bhanaaa, ndo unapendezaa.Nimekuwa kama mtoto niliyeshindikana eeeh?
Ntairudia style yangu ya short air..ila sasa nilikuwa mvivu kuchana,nikawa kama kichaa kichwani.
Naomba training ya kutembelea high heels... jana nilitia aibu!! Badae ntaselfika uone nivokua natembelea ukutani yani bila kushika ukuta/ Kitu utacheka ufeeee
!!





dada angu aliwahi biringika toka ngazi ya juu hadi chini. Lol😂😂Ni Mungu tu Mdogo angu 😍nipe siri ya mafanikio kwa kweli.
Soon namuacha pekeyake kwenye ukimbaombaoMwili unapewa raha huo, basi tu umegoma kubongeka
Mbona unapendezeaEeh kweli kabisa ..
Tuwaachie hao wanaoweza kuzivaa .
Kuna watu wananidis nazo..wanasema sijiweki kidadaWeka short hair bhanaaa, ndo unapendezaa.
Nilivyo mkuda
Naachaje
Kwa mfano



