Eti umeishia kuwa tapeli 😆😆😆Nilikuwa napenda sana low level programming language kwa ajiri ya ma embedded systems.. sema dah mfumo wa elimu sio rafiki nimeishia kuwa tapeli tu 😢😢😢
Utaselfika sangapi??Jk na Kinana
Napata chai.. huku nasubiri msukuma mmoja aje nimtapeli 🤣🤣🤣Eti umeishia kuwa tapeli 😆😆😆
Imebidi nicheke tu but it's really sad.
System yetu haipo kwaajili ku-support wala kuinua interests ambazo tunazo tayari. Kazi yake ni kutufanya tujione tumesoma bila kuelimika sawa sawa.🙁
Msukuma?






sifaham mamy jina lingineJina lingine nn? Mbna sijui hata kuona sijawahi.
Msukumaji tu 😃😃Msukuma?![]()
Msoga na Kinana




Mke wa msanii fulaaniNdio nani huyo mjukuu