Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😃😃😃 weee hakuna kibunda cha freee wala ku download kibundaaaa.. kazi kazi.. Tuna miiko mitatu.. Uvumilivu ( ili kuwa katika mda sahihi na entry sahihi), Risk Management ( usipoteze capital, usipoteze, win:lose.. win ratio iwe kubwa zaidi, lot size calculation etc), usipoteze pesa.. na hii ndio sheria mama.. 😎😎😎😎... zingine ni mbinu kama mbinu zingine ambazo zinakuja na aina ambayo unataka.. But Forex ni hatari
😁😁😁 Sasa ntafanyaje na mie nataka easy pesa? 🙄🙄🙄

On a serious note though.. Hapo kwenye uvumilivu hapo, ni pakutilia mkazo zaidi 🤝🏾
Forex ni yenu mloi-master aiseee..mi ngoja niwaangalie kwa mbali tu.🙂
 
Asubuhi NZURI nawatakia
FB_IMG_1646285435932.jpg
 
😁😁😁 Sasa ntafanyaje na mie nataka easy pesa? 🙄🙄🙄

On a serious note though.. Hapo kwenye uvumilivu hapo, ni pakutilia mkazo zaidi 🤝🏾
Forex ni yenu mloi-master aiseee..mi ngoja niwaangalie kwa mbali tu.🙂
Pesa ya easy haipogooo.. siku ukisia mahala kuna pesa ya easy ni tag mkuu 😎😎
 
#TBT These pics with my AISJ t-shirt on got me feeling nostalgic so I started looking into my old school.
DSC01000.JPG

14.jpg

So many memories came rushing.....🤯
Na panafanana vile vile ☺
Screenshot_20220303-002315_Chrome.jpg
Screenshot_20220302-235439_Chrome.jpg


Ila nilivyoona hii I was like ROBOTS?? CODING??.....in the middle school!🤗 Nimebaki kutamani siku moja education system yetu ije kuwa this practical....hata kama itachukua miaka 100 🤞🏾🤞🏾

Screenshot_20220303-001814_Chrome.jpg
 
#TBT These pics with my AISJ t-shirt on got me feeling nostalgic so I started looking into my old school.View attachment 2137005
View attachment 2137019
So many memories came rushing.....🤯
Na panafanana vile vile ☺View attachment 2137010View attachment 2137011

Ila nilivyoona hii I was like ROBOTS?? CODING??.....in the middle school!🤗 Nimebaki kutamani siku moja education system yetu ije kuwa this practical....hata kama itachukua miaka 100 🤞🏾🤞🏾

View attachment 2137012
Nilikuwa napenda sana low level programming language kwa ajiri ya ma embedded systems.. sema dah mfumo wa elimu sio rafiki nimeishia kuwa tapeli tu 😢😢😢
 
Back
Top Bottom