Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Usiombe shos! Bora jana msukuma kwako alikutana walau hata na pua tu imagine unakutana na majani [emoji134][emoji134][emoji134][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yeye sasa msukuma alivyo na makusudi, anapost picha ya vitabu afu kwa mbali mzungu yupo swimming pool,

Aaaah inakata stim mnoo, mtu unajua unamuona mzee wa 76yrs kitu hollah, hebu imagine? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yeye sasa msukuma alivyo na makusudi, anapost picha ya vitabu afu kwa mbali mzungu yupo swimming pool,

Aaaah inakata stim mnoo, mtu unajua unamuona mzee wa 76yrs kitu hollah, hebu imagine? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Unataka uone mzee wa 76yrs wa nini? Unataka kuninunulia mkongojo digital? [emoji16][emoji16]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nna maeneo yangu napuyanga kwa miguu mie, hasa nyumbani nikitoka asubuh tukutane jioni, ni mizururo com, mie ujanja wangu ni home, ugenini hapana, afu soon ntakua hapo moro town kwa siku 3 then nasepa home huko bondeni, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
karibia forest"
 
Back
Top Bottom