Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yeye sasa msukuma alivyo na makusudi, anapost picha ya vitabu afu kwa mbali mzungu yupo swimming pool,

Aaaah inakata stim mnoo, mtu unajua unamuona mzee wa 76yrs kitu hollah, hebu imagine? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahhhhhaaah!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] msamvu pana heka heka, nlishawahi kuangushwa stand pale ndan jinsi walivyinizonga wale mawakala, yaan walinivuta had chini, sitasahau khaaaah
Khakhaaaaaa... naimagine sikupatii picha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]!
 
Taarifa kwa manufaa ya jamii

Ndugu wazalendo kuna gari imekamatwa ilula ikiwa na bajaji tisa piki piki tatu ambazo baada ya kibanowamesema zimeibiwa kutoka dar na kibaha. Kama mtu anajua aliibiwa kati ya hivyo au jamaa yake awasliane na afande method wa ilula moja kwa moja namba 0768501086 pia naomba sambaza taarifa hii katika magroup mengine tafadhari. Diwani picha ya ndege
 
Khakhaaaaaa... naimagine sikupatii picha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]!
Shouzz acha kabisaa, tshet langu jeupe la manga, kipusa changu cha jeans, laba zangu chini utaniambia nn? Kilichovikuta sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nipo kwenye gari nalia tyuuh nafuta machozi na lesso.
 
Umemtambua Nani Hapo [emoji4][emoji4]
Screenshot_20220303-160010.jpg
Screenshot_20220303-160020.jpg
Screenshot_20220303-160030.jpg
Screenshot_20220303-160040.jpg
 
Back
Top Bottom