Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot_20220303-113028_Messages.jpg
 
Habari za leo?

Kama unamfahamu yeyote aliyefiwa na mwenza na alikuwa na Account CRDB Bank nakuomba umtaarifu afike kwenye tawi iliko account ya mwenza ndani ya miezi sita tangu kifo kilipotokea kuna mafao anayostahili kupewa. Ni watu wachache wanaofahamu kuhusu fao hili. Na kama mfiwa na marehemu wote wana Account CRDB mafao yanakuwa ni mara 2.

Jamani tusambaze upendo huu hata kwa makundi mengine ili watu wengi waweze kupata taarifa hii wasipoteze mafao/haki yao pale kifo kinapotokea.


Kopi end pesti

Mwenye uhakika tafadhali
Hebu ngoja niwahi tawi fulani hivi,
 
Back
Top Bottom