Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Kumbe huzururagi eeh
Hiyo ID ipo siku mingi sana
Ila wabadilishaji na multiple wamejaa, jichanganye uyavagae![]()






ulivyo niparua sasa hadi nimejistukia woiiiiiiiiih. Hebu ngoja niwahi tawi fulani hivi,Habari za leo?
Kama unamfahamu yeyote aliyefiwa na mwenza na alikuwa na Account CRDB Bank nakuomba umtaarifu afike kwenye tawi iliko account ya mwenza ndani ya miezi sita tangu kifo kilipotokea kuna mafao anayostahili kupewa. Ni watu wachache wanaofahamu kuhusu fao hili. Na kama mfiwa na marehemu wote wana Account CRDB mafao yanakuwa ni mara 2.
Jamani tusambaze upendo huu hata kwa makundi mengine ili watu wengi waweze kupata taarifa hii wasipoteze mafao/haki yao pale kifo kinapotokea.
Kopi end pesti
Mwenye uhakika tafadhali




Wee lect unajibu sahivi kweli? Nipo posta now, hapo maeneo ntakua mida ya SAA 12 jioni.Nipo nje hapa


Mie napenda km hili, yaan hata siozi nakua mkavu tyuuh.LA chuma tupu View attachment 2137165
Wale wa "ongeza sifuri" wanakula easy moneyPesa ya easy haipogooo.. siku ukisia mahala kuna pesa ya easy ni tag mkuu![]()
Zote bank za mwanzoni kabisaa, miaka ya 1760s
Shauka tuulivyo niparua sasa hadi nimejistukia woiiiiiiiiih.
Ni mzururaji mzuri tyuuh, ila sifatilii ID za watu mie, aaaah wapi wee kuyavagaa sio coca mie labda remix angu, uwiiiiii
Jaman dea wee nae, yaan niogope kunikuta kitu hapa JF? Na huko mtaani au uraiani je? Uzuri wake mi mwenyewe nipo full package, hiyo siku mbna kitawaka kitu humu ndani akuuuh. Sijawa mnyonge kiasi hiko mie,Shauka tu
Ngoja siku kikukute kitu![]()








Si kweli hata kidogoWale wa "ongeza sifuri" wanakula easy money
Mbwembwe za binadamu tu. Once you are dead, it is done. Kwenye hii ishu wenzetu wa upande ule nawapa mia kwa mia na bakhshishi juuLA chuma tupu View attachment 2137165



Wacha wee, high heels hutaki tabu mwenyeweee.Chat na picha mdogo wangu acha kelele View attachment 2137282





12 nitakua hapoWee lect unajibu sahivi kweli? Nipo posta now, hapo maeneo ntakua mida ya SAA 12 jioni.![]()
Depal kama DepalShauka tu
Ngoja siku kikukute kitu![]()
