Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulivyo niparua sasa hadi nimejistukia woiiiiiiiiih.Kumbe huzururagi eeh
Hiyo ID ipo siku mingi sana
Ila wabadilishaji na multiple wamejaa, jichanganye uyavagae [emoji1787][emoji1787]
Hebu ngoja niwahi tawi fulani hivi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Habari za leo?
Kama unamfahamu yeyote aliyefiwa na mwenza na alikuwa na Account CRDB Bank nakuomba umtaarifu afike kwenye tawi iliko account ya mwenza ndani ya miezi sita tangu kifo kilipotokea kuna mafao anayostahili kupewa. Ni watu wachache wanaofahamu kuhusu fao hili. Na kama mfiwa na marehemu wote wana Account CRDB mafao yanakuwa ni mara 2.
Jamani tusambaze upendo huu hata kwa makundi mengine ili watu wengi waweze kupata taarifa hii wasipoteze mafao/haki yao pale kifo kinapotokea.
Kopi end pesti
Mwenye uhakika tafadhali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]LA chuma tupu View attachment 2137165
Wee lect unajibu sahivi kweli? Nipo posta now, hapo maeneo ntakua mida ya SAA 12 jioni. [emoji23][emoji23]Nipo nje hapa
Mie napenda km hili, yaan hata siozi nakua mkavu tyuuh.LA chuma tupu View attachment 2137165
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji57][emoji57]View attachment 2137177
Pochi nene [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wale wa "ongeza sifuri" wanakula easy moneyPesa ya easy haipogooo.. siku ukisia mahala kuna pesa ya easy ni tag mkuu [emoji41][emoji41]
Zote bank za mwanzoni kabisaa, miaka ya 1760s
Shauka tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulivyo niparua sasa hadi nimejistukia woiiiiiiiiih.
Ni mzururaji mzuri tyuuh, ila sifatilii ID za watu mie, aaaah wapi wee kuyavagaa sio coca mie labda remix angu, uwiiiiii
Jaman dea wee nae, yaan niogope kunikuta kitu hapa JF? Na huko mtaani au uraiani je? Uzuri wake mi mwenyewe nipo full package, hiyo siku mbna kitawaka kitu humu ndani akuuuh. Sijawa mnyonge kiasi hiko mie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shauka tu
Ngoja siku kikukute kitu [emoji38]
Si kweli hata kidogoWale wa "ongeza sifuri" wanakula easy money
Mbwembwe za binadamu tu. Once you are dead, it is done. Kwenye hii ishu wenzetu wa upande ule nawapa mia kwa mia na bakhshishi juu [emoji122][emoji122][emoji122]LA chuma tupu View attachment 2137165
Wacha wee, high heels hutaki tabu mwenyeweee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chat na picha mdogo wangu acha kelele View attachment 2137282
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu mie woiiiiiiiiiih.[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2137292
12 nitakua hapoWee lect unajibu sahivi kweli? Nipo posta now, hapo maeneo ntakua mida ya SAA 12 jioni. [emoji23][emoji23]
Depal kama Depal[emoji4]Shauka tu
Ngoja siku kikukute kitu [emoji38]