cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,245
Unavyopenda ndinga wewe; hapo nilikuwa napuyanga tu



mama malezi niache, sasa nipende nn hebu nambie kwan?Unavyopenda ndinga wewe; hapo nilikuwa napuyanga tu



mama malezi niache, sasa nipende nn hebu nambie kwan?Tangu juzi hujaselfika Boss Lady. Au mazoezi yanakubana sana?Afu ukute ndo wale wa kutorudirudia kirahisi sasa dahh!!!!



Si nikalogin kwa jf App ikazingua kuload picha Mara paaa naona ma mtumishi katupia kitu afu loading error weee ile kuwahi kuingia kutumia browser nakutana selfii la mandhari uuwiii!!! Nikajua kitu cha mshono mattatta kama kawaida yake!!





wee shouzzz khaaahPenda kupuyanga kwa miguu kama mama malezimama malezi niache, sasa nipende nn hebu nambie kwan?
Mhh na nyie mnawatega sana![]()




na wao wanategeka, uongo wako ndo wanawatega kwa kuwapunja marks woiiiiiih.Usiombe shos! Bora jana msukuma kwako alikutana walau hata na pua tu imagine unakutana na majaniwee shouzzz khaaah







!!!Acha Kabisa ma mchungaji.. si unajua venye App inavozingua mpaka zisome% sasa click click click inasoma 0% doh ndio kukimbilia browser nilichokutana nacho nikabaki tu![]()
!






jaman mie sitaki nipo hapa nacheka naonekana chizi tyuuh lol.😋😋Natamani kujua hii kitu vipi wanatengeneza
Cocastic





nini sasa mpe lishe na matunzo bora uone atavyaofumuka, nyama yake inakua ngumu na haitafuniki hata 




Si ya kucheka haya shos!jaman mie sitaki nipo hapa nacheka naonekana chizi tyuuh lol.


!!!Nitaulizia wataalamu wa Nguzo Camp wanielekeze halafu nitaanzia operesheni yangu ya kukusaka nikiwa hapo. Nikifika huko Kingolwila, Cate Hotel, soko la karibu na mzumbe na hilo la Kingalu na nyumba kadhaa za ibada mbona ntakudabua MamaMchungaji?Wewe njoo Moro afu uone kama utanipata![]()



Wewe njoo Moro afu uone kama utanipata![]()



uko moro acha kutuzingua hapa, Teh ukinipata nitakupa helaNitaulizia wataalamu wa Nguzo Camp wanielekeze halafu nitaanzia operesheni yangu ya kukusaka nikiwa hapo. Nikifika huko Kingowira, Cate Hotel, soko la karibu na mzumbe na hilo la Kingalu na nyumba kadhaa za ibada mbona ntakudabua MamaMchungaji?![]()
Uje unisalimieuko moro acha kutuzingua hapa,
Mkundi, kikundi, kihonda, hahahah



Penda kupuyanga kwa miguu kama mama malezi




nna maeneo yangu napuyanga kwa miguu mie, hasa nyumbani nikitoka asubuh tukutane jioni, ni mizururo com, mie ujanja wangu ni home, ugenini hapana, afu soon ntakua hapo moro town kwa siku 3 then nasepa home huko bondeni, 



Karibu sana, utanikuta Msamvunna maeneo yangu napuyanga kwa miguu mie, hasa nyumbani nikitoka asubuh tukutane jioni, ni mizururo com, mie ujanja wangu ni home, ugenini hapana, afu soon ntakua hapo moro town kwa siku 3 then nasepa home huko bondeni,
![]()
Laki ngapi?Teh ukinipata nitakupa hela

1m cashLaki ngapi?
Hata siku mbili hazitapita wallahi. I am a trained private investigator ujue