Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Bina anasemea picha ya jana banaMuongo mama malezi leo nimepitwa aaah,![]()
Bina anasemea picha ya jana banaMuongo mama malezi leo nimepitwa aaah,![]()
Ooooh hapo sawa km ni hivyoo.Bina anasemea picha ya jana bana
EeeeeehNi wee au mwingine?![]()
Nakaziaaaaaaaaaa...hebu selfika wee mwenyewe, tukuone.
Leo Mazoezi nilifanya msukuma!Asante Boss Lady...Utaselfika leo? Umefanya mazoezi leo?
Mweh! Mweh! Mweh! Naomba unisamehe bure kwa kubadili ufanyaji kazi wa Medula Oblangata yako tafadhali 🙏😄Uwiiiiiih hadi medula oblangata imebadili ufanyaji kazi wake, woiiiiiiiiiiih, huuppppsssssss Lol
Unataka niende motoni Mtumishi? SijapendaKila la kheri Mtumishi; usiniangushe![]()



Kumbe unajua kuna moto?
Naomba nikuone Boss Lady ukiwa kwenye mazoezi yako. NakuaminiaLeo Mazoezi nilifanya msukuma!

Hapana sijapigapo selfii dok!Naomba nikuone Boss Lady ukiwa kwenye mazoezi yako. Nakuaminia![]()
Ndiyo. Tunatishwa eti kuna moto kwetu sisi wapenda misambwanda japo wengine kama Jehovah Witness wanasema hakuna kitu kama hicho na ni vitisho tu vya watu ili waweze kuogofya na kuwatawala wengine...Kumbe unajua kuna moto?



Hebu geuka kwan nione kwa mbele.Mweh! Mweh! Mweh! Naomba unisamehe bure kwa kubadili ufanyaji kazi wa Medula Oblangata yako tafadhali![]()




😂😂😏Ndiyo. Tunatishwa eti kuna moto kwetu sisi wapenda misambwanda japo wengine kama Jehovah Witness wanasema hakuna kitu kama hicho na ni vitisho tu vya watu ili waweze kuogofya na kuwatawala wengine...
Niombee nisiende motoni Mama Mchungaji (kama kweli kuna moto!)![]()
Ohooo! Usiku Mwema cocastic 😄Hebu geuka kwan nione kwa mbele.![]()
Kesho msukuma kesho nikumbushe!!