Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,771
Jicho hilo mtu maaalumu 😋😋😋😋
Jicho hilo mtu maaalumu 😋😋😋😋
mi mwenyewe hata sina jipya msukuma ! Safi sana unaongeza maarifaMi sina jipya Boss Lady. Na uzee huu wa miaka 76 hata nikiselfika hakuna lo lote la maana. Nipo hapa najisomea huku nikiangalia neema za Allah zikiogelea...Muumba fundi sana yaani!
We leo utaselfika?
View attachment 2136674
Uwiiiiiih hadi medula oblangata imebadili ufanyaji kazi wake, woiiiiiiiiiiih, huuppppsssssss Lol
Asante Boss Lady...Utaselfika leo? Umefanya mazoezi leo?mi mwenyewe hata sina jipya msukuma ! Safi sana unaongeza maarifa
Naona kuna pisi kali hapo pembeni Mtumishi. Shule inanogaaMi sina jipya Boss Lady. Na uzee huu wa miaka 76 hata nikiselfika hakuna lo lote la maana. Nipo hapa najisomea huku nikiangalia neema za Allah zikiogelea...Muumba fundi sana yaani!
We leo utaselfika?
View attachment 2136674
Asante Boss Lady...Utaselfika leo? Umefanya mazoezi leo?
Ko leo nimepitwa au? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji847]ahsante sijakuzidi aseeh!nawaza shundu lile na utoluu!!!
[emoji8]umejaaliwa!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Hujapitwa bana wee😂😂😂Ko leo nimepitwa au? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hadi huko majuu imepanda pia? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alaaniwe Putin. Wese linazidi kupanda bei. Kuna hatari ya kutembea kwa miguu aisee [emoji51][emoji51][emoji51][emoji706][emoji706][emoji706]
View attachment 2136700
Kuna mzungu hapa ana umbo la Kinyaki. Yaani ana shundu la uhakika. Kanifuma namwangalia akaishia kutabasamu tu. Ngoja nione itakavyokuwa. Nitaleta mrejesho [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]Naona kuna pisi kali hapo pembeni Mtumishi. Shule inanogaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu selfika wee mwenyewe, tukuone.Kuna madaktari haki ya nani walienda medical school ili kupoteza muda tu. Harvard graduate mzima eti kanishupalia niache kula ugali. Nikamuuliza unataka nile nini? Ananiambia eti salad na matunda. Sema tu ni pisi kali vinginevyo hata kibao angeambulia. Msukuma orijino tena wa Ntuzu kabisa niwe nakula majani kama sungura? Kwani nataka kuishi milele? Nevaaaa !!! [emoji123][emoji123][emoji123]
View attachment 2136679
Huku ndo ground zero. We respond to the market whims second by second. It is scary!Hadi huko majuu imepanda pia? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareee tupu,Huku ndo ground zero. We respond to the market whims second by second. It is scary!
Kila la kheri Mtumishi; usiniangushe😂😂😂Kuna mzungu hapa ana umbo la Kinyaki. Yaani ana shundu la uhakika. Kanifuma namwangalia akaishia kutabasamu tu. Ngoja nione itakavyokuwa. Nitaleta mrejesho [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Muongo mama malezi leo nimepitwa aaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hujapitwa bana wee[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni wee au mwingine? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kila la kheri Mtumishi; usiniangushe[emoji23][emoji23][emoji23]