Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Nitakuzabuuuuaaa mwaisaaa 😂😂Heee!
Ni wewe?
Nitakuzabuuuuaaa mwaisaaa 😂😂Heee!
Ni wewe?
Em nitajieUliza bei😂
3k😂Em nitajie
Nimecheka hadi nataka kuzimiaKama nawaona wakina Heaven Sent na mwenzake Saint Anne Ngoja waje 😄
Eeeeeeh?????3k😂
Ahsante binamu yanguuuu. Cuteeee
Ahsante binamu yanguuuu. Cuteeee
ahsante sijakuzidi aseeh!nawaza shundu lile na utoluu!!!
umejaaliwa!Wewe au una wa kukusaidia?Nitakuzabuuuuaaa mwaisaaa![]()
Nimeona ame-like ndiyo maana
Bina ningekuwa na shundu si mngenikoma. Ukivaa tu heels tunakuwa sawa wote😂😂ahsante sijakuzidi aseeh!nawaza shundu lile na utoluu!!!
umejaaliwa!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Wee!ngoja nitume niliosimama asehh!Bina ningekuwa na shundu si mngenikoma. Ukivaa tu heels tunakuwa sawa wote![]()
Unatuma saa ngapi nisijepitwaWee!ngoja nitume niliosimama asehh!
Shundu lipo Dada unalo Mimi bwana mmepigwa flat!!!!
Mjep atakua kafurahi sana maana alikua anatamani kuona sura angu live
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Hufutagi picha yaani. Kwa hili niko tayari kutoa hata figo yangu moja kukuchangia yaani. Safi sana afande !!!





Msukuma selfikapo nawewe basi!!Hufutagi picha yaani. Kwa hili niko tayari kutoa hata figo yangu moja kukuchangia yaani. Safi sana afande !!!![]()
DuuuhHufutagi picha yaani. Kwa hili niko tayari kutoa hata figo yangu moja kukuchangia yaani. Safi sana afande !!!![]()
Mimi hii wiki ni mtihani. Nafunga Kwaresima labda mambo yatabadilika. Yasipobadilika nahamia kwenye upagani. Si kwa kukosa neema za Allah huku kunakoniandama wallahi!



Mi sina jipya Boss Lady. Na uzee huu wa miaka 76 hata nikiselfika hakuna lo lote la maana. Nipo hapa najisomea huku nikiangalia neema za Allah zikiogelea...Muumba fundi sana yaani!Msukuma selfikapo nawewe basi!!