Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

FB_IMG_1646117702426.jpg
 
Wee!hakuna maajabu best!we unajua sura za wife materials!???!! Utakua disappointed na miili ya kukauka ya kama mti!
Hunyimwi vyote bila shaka unavyo vizuri ukiacha hiyo sura.

Ila mbona wife materials wazuri wapo wengi sana.
 
Binti,
Nadhani kuna mambo mengi yenye tija ya kufanya kuliko huu upuuzi wa kujifanya unajua kuunganisha dots za watu usiowafahamu humu ndani.!!

Would you please do me a favor by minding your own fqng business na uache kufanya huu upuuzi unaofanya hapa?? don't try to be nosy kwa watu usiowafahamu,

Huu upuuzi wa kujifanya unanijua sana unaanza kunifananisha na raia wengine naomba mwisho wake uwe hapa!!

Jipongeze kwamba nimekuheshimu sana!! Ukipata muda hebu jaribu kufanya mambo ya msingi..!! Halafu heey' mbona umekomalia sana?? What's wrong with you?? Do we know each other maybe??
Depal imagine nilikuwa najua kuchambana kiasi hiki walaqhi'..! Sahii nimeokoka Nampenda Yesu..!

Mideko thanks for the memory swirry, nimecheeka..!
 
Back
Top Bottom