Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,842
- 57,486
Na wewe unaonekana ni hatari eneo hilo, ngoja niwaambie Wazee wenzangu wakae mguu sawa. Wasije jikuta pension yao yote wanakukabidhi wewe 😂😂🏃🏃watu weuweeeeeeeeeeeh
Na wewe unaonekana ni hatari eneo hilo, ngoja niwaambie Wazee wenzangu wakae mguu sawa. Wasije jikuta pension yao yote wanakukabidhi wewe 😂😂🏃🏃watu weuweeeeeeeeeeeh


Kama alivyojilipua Linda Joseph kwa mume wa mtu... Ahahahahahahanimeamua kujilipua bhana, huenda ndo soulmate wangu, ko tunapiga jalamba la kuingia ndoani. Hahahah.
Kwamba unatembea nacho hadi sebuleni huku unaendelea kupiga kinandaHuyu cocastic na haka kabody kake unakatemvea nacho Hadi sebuleni huku unaendelea kupiga kinanda huku yeye anasifu na kuabudu.Kabody Fulani hivi Ka kilo 40![]()
ChakoriiWewe sasa
Eng'washi bhageshi
Mfyuuuuuu!msaniiiAu nikija tena tumchinje nikuletee mkia na kichuri?

We kaka,watupaka mafuta kwa mgongo wa chupa,siye weye sura za baba zetu!Guys, ladies of jf are just!
Bahati mbaya tunaambiwa tuchague wachache tu!
I've really enjoyed japo kuchelewa kulala.
Goodnight y'all!!

Oyaa kama mnaselfika fanyeni hivyo. Kama mmeghairi napo semeni. Nimechoka kuvizia![]()




babuuuh umepitwa, jana kulikua na full surprises.Na wewe unaonekana ni hatari eneo hilo, ngoja niwaambie Wazee wenzangu wakae mguu sawa. Wasije jikuta pension yao yote wanakukabidhi wewe![]()





wacha bhana, pension kuduvua kawaida, tena unifanyie mpango kwa m1 unaeona pension yake inapumua huko bank, ili niisaidie mie kwa mirija. UwiiiiiiihMbwa mkali huyu lol,That one guy who's always excited to see you
CLASSICAL CONDITIONING
Hooman=treats, belly rubs and chasing meaows togetherView attachment 2132569




Sasa mlongo maisha haya bila kujilipua hutoboi, waume za watu wanajua kujali na kuhudumia, kwann wasigandwe? Sasa hawa vijana kutwa kushinda Gym utadhan wanawake wanakula six packs zao lol, waume za watu hoyeeeeeeeeeeeeeh, tuishi humo tyuuhKama alivyojilipua Linda Joseph kwa mume wa mtu... Ahahahahahaha







Ngosha wa kienyeji taratibu mambo yako, hebu selfilka kwan bas nawee.Kwamba unatembea nacho hadi sebuleni huku unaendelea kupiga kinanda
Hahaha...najaribu kuwa muda huo unatembea nae huku dushe limo ndani au vipi mkuu?




We kaka,watupaka mafuta kwa mgongo wa chupa,siye weye sura za baba zetu!![]()





