cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,269
Kwani leo umekula nini eti![]()





kipenziiii yaan leo sijui nimekuaje hata.Kwani leo umekula nini eti![]()





kipenziiii yaan leo sijui nimekuaje hata.Ulichokula leo usikile tena siku nyingine![]()





afu leo sijala kitu mbna jioni hii. Mchana nlikula pilau.Hongera Kwa kuwa na mpenz humu




nimeamua kujilipua bhana, huenda ndo soulmate wangu, ko tunapiga jalamba la kuingia ndoani. Hahahah.Jilipue tu lakini usithubutu hata Kwa bahati mbaya kuitaja Id yake ok!nimeamua kujilipua bhana, huenda ndo soulmate wangu, ko tunapiga jalamba la kuingia ndoani. Hahahah.
Too much viungo vimeenda kuvuruga ubongoafu leo sijala kitu mbna jioni hii. Mchana nlikula pilau.
Kalale mdogo anguHebu fanya basi me nlale.
Najua mlikua na miadi ya usiku mbaya.
Mimi tenaa nimekua mdogo akoo...Kalale mdogo angu


Siwezi hata yaan kipenziiiih, naye hawezi kukubali hata.Jilipue tu lakini usithubutu hata Kwa bahati mbaya kuitaja Id yake ok!
Selfika dogo
Wee selfika ma brohz, nipo mie tyuuh hapa.Selfika dogo
Haya anza weweWee selfika ma brohz, nipo mie tyuuh hapa.
Wee selfika ma brohz, nipo mie tyuuh hapa.
Haya anza wewe



Acha twende bar tuView attachment 2132223
Hapana kwa kweli. Kwenye vita kila aliyeshika silaha ni adui, haijalishi unajua kuitumia ama la.Fursa kwa ambao hawataki kuishi bongo..
Kashaija72 View attachment 2132274... kama ndege za bure zipo nasepea ndaenda Ukraine View attachment 2132274
Niwekee screen shot tafadharina kweli acha nilale...nimeona basi swaaafi