Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
alafu kapiga picha gari yangu.. acha ni mblock mahala nimrushe kichula chulaNi wapi hapo![]()
alafu kapiga picha gari yangu.. acha ni mblock mahala nimrushe kichula chulaNi wapi hapo![]()
Pole nkamu mweeh
Leo sichezi mbali. Kila notifikesheni lazima niangalie. We kwani umeshaselfika leo Boss Lady?Unanikosha sana ulivo mzungu yani![]()
Gregory 2000 shem tatizo ukipotea unapotea mazima kama msukuma Shimba Ya Buyenze .
Stay tuned murembo wa kimataifa anashusha vitu soon
Afadhari umerudi kwenye your area of influence, sio kule kwenye kuibiwa. Baki humuhumu kijana
Unishtuege na mimi nipo kule mtaa wa pili nakunywa mbegeLeo sichezi mbali. Kila notifikesheni lazima niangalie. We kwani umeshaselfika leo Boss Lady?
Huliona tamu jina, La Yesu Kristo BwanaDhambi pia na hatia ametuchukulia
Twenendeni na amani, hata kwake mbinguni.
Iimbeni malaika siiifa za Yesu BwanaHuliona tamu jina, La Yesu Kristo Bwana
Yuna sifa mwenye kufa asishindwe na kufa
Unaumwa my ex?
Leo sichezi mbali. Kila notifikesheni lazima niangalie. We kwani umeshaselfika leo Boss Lady?
Ni wapi hapo![]()
Taratibu mzeeEwaaaa... vikukuuu, vipini, tatooo ugonjwaaa kabisa wa kijana wa hovyo hovyoo.. jamaa mpe hongera![]()




Wewe tena daddy ☺ ...I would be offended if you didn't!!!Nayajua hayo macho 😉
😃😃😃😃 haya acha nitulie ila nimetaja magonjwa yanguu.. nikiona pini kwenye ulimi, puani, kitovuni, na sikioni... tatoo kwenye mguuu na kiunoni kidogo kwisha kabisaa.. na kikuuu cha gold flani hivi na ka pete kwenye kidole mimiii kufa kabisaaaTaratibu mzee
Shemeji yako huyo
![]()