Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Raha ya JD tuwe kampansitakuwepo wiki nzima, nimemwambia anitumie ninywe mwenyewe huku niliko hataki

Raha ya JD tuwe kampansitakuwepo wiki nzima, nimemwambia anitumie ninywe mwenyewe huku niliko hataki

Kumbe alikua anamaanisha MPESAAaaaahhh Jack Palladino mfanyie wepesi mpesa shos angu jamani usimfanyie hivo!

JD itashuka vzr huku tukipiga story za hapa na paleBwana bwanaa![]()

Kwamba ulikua hujaelewa jamani my exKumbe alikua anamaanisha MPESA![]()

Nilikua sijakupata my exKwamba ulikua hujaelewa jamani my ex![]()

Nayajua hayo macho 😉
Kwema kabisaKwema mkuu
Huyo ni mimi kabisa na vibe langu
acha selfiHuyo ni mimi kabisa na vibe langu
Nakuona baunsaaaaaaaacha selfiView attachment 2129846
Umeona baunsa alivyopandaa juuu gusa upasuke 😃😃😃Nakuona baunsaaaaaaa
Tunalingana urefu ujue baunsaUmeona baunsa alivyopandaa juuu gusa upasuke 😃😃😃
Hivi uliona comments za jana za komandoo? Nyie komandoo ana mbwembweUmesahau komandoo wa special force![]()




