Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

hahahahaha,dah
Nimekumbuka miaka ya 2009 niliotewa Ohio na wale ma mwela wa mitaa ya ubalozi.. jamaa hajanikuta nanyandua wala nini nilikuwa nazingua, kanipiga mkubeto.. nikaanza kumlia timing na hesababu za kumuacha.. ile tunaelekea mirambo Street nilimtega na mguu ile kucheza nika msukuma.. ndukiii aliona manyoya tu na kunitishia na smg yake..
 
Nimekumbuka miaka ya 2009 niliotewa Ohio na wale ma mwela wa mitaa ya ubalozi.. jamaa hajanikuta nanyandua wala nini nilikuwa nazingua, kanipiga mkubeto.. nikaanza kumlia timing na hesababu za kumuacha.. ile tunaelekea mirambo Street nilimtega na mguu ile kucheza nika msukuma.. ndukiii aliona manyoya tu na kunitishia na smg yake..
hahahaha.ohio game kwa babu .nyuma ya IT plaza.babu anakupa box
 
Back
Top Bottom