hahahahaha. Wakubwa wanafaidi
πππππππ so hot!!Za lasti wani kwa leo
View attachment 2130668
Umetisha sana, nadhani Jeshini litakuwa linatumika sana hasa knowledge ya Map reading na Photographyπππ tulipiga sana hizi kipindi tupo na course ya land navigation skills.. hatari sana
Putooooo.Za lasti wani kwa leo
View attachment 2130668
hahahaha.mm bdNawewe ni mkubwa!!
Ndiyo Mkuu, nilipita hapo last week.Mkuu umepiga hii pic ukiwa Picnic villa hotel?
mmhZa lasti wani kwa leo
View attachment 2130668
πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈZa lasti wani kwa leo
View attachment 2130668
MmmmmhZa lasti wani kwa leo
View attachment 2130668
unasema kweli kbsπππ International shape ! Inahamasisha sanaπππππ! au Nasema uongo mtu chake ??
Ok nitakustua plus location after work!
Kwani Mkuu humwamini Karma , Saint Anne na Madame B niliwahi kusikia mahali wako vizuri sana kwenye Geography ππππ hao watanihujumu.. tuu mkuu.. nipe maksi zangu nilale mbele
Santo sana... hujawahi niangusha mjeda!unasema kweli kbs
Aaaah Geography ya wapi hiyoo.. hao hakuna kitu labda mwalimu Madame BKwani Mkuu humwamini Karma , Saint Anne na Madame B niliwahi kusikia mahali wako vizuri sana kwenye Geography π
hahahaha.napenda vzr ila vzr havinipendiSanto sana... hujawahi niangusha mjeda!
Usemacho ni sahihi Mkuu, wakati natoka kwenye paper yake nilisema sikosi A badala yake ππππUbaya wa hili somo ni kuwa halitaki mbwembwe. Jibu swali kwa ufupi na kwa ukamilifu. Ni sayansi hii. Ukicheza kidogo tu utajishangaa unatoka na B au C. Mojawapo ya masomo rahisi kabisa kabisa!
land navigation ni geography mtupu. na jeshini hasa kwa special forces lazima wawe na skillis ya juu sana kwenye hiyo kituUmetisha sana, nadhani Jeshini litakuwa linatumika sana hasa knowledge ya Map reading na Photography
Ohoooo! Jamani...Za lasti wani kwa leo
View attachment 2130668