Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Lilikua chimbo langu miaka ya nyuma sana!Ndiyo Mkuu, nilipita hapo last week.
Vipi ndiyo Chimbo lako nini?
Lilikua chimbo langu miaka ya nyuma sana!Ndiyo Mkuu, nilipita hapo last week.
Vipi ndiyo Chimbo lako nini?
Kumbe special forces wako deep sana kwenye hilo eneo🙌land navigation ni geography mtupu. na jeshini hasa kwa special forces lazima wawe na skillis ya juu sana kwenye hiyo kitu
🤣🤣🤣🤣 acha utani mjeda hujaamua tuhahahaha.napenda vzr ila vzr havinipendi
Hahaha.....saivi umehamia Manzese au Tabata kule, manake viwanja ni vingi sana siku hiziLilikua chimbo langu miaka ya nyuma sana!
ndio hiyo land navigation skills..Kumbe special forces wako deep sana kwenye hilo eneo🙌
Miaka Fulani jirani na Kambi Fulani ya Jeshi walikuwa wanafichiwa vitu then wanaambiwa waje watafute Kwa kusoma kwenye ramani.
Ilikuwa tunawaonea huruma then kisiri Siri ukiwaonesha wanakupa hela kama zawadi manake unakuta wamekaa tangu asubuhi wanatafuta bila mafanikio
hahahaha,nishaamua sana rafiki,ila ndo sina zali,nimeamua kbk chtcht🤣🤣🤣🤣 acha utani mjeda hujaamua tu
My sons legacy umeona kalio lile la kuvunja kiti cha plastiki.Aisee
Nadhani hata kwetu huku wanahitaji uwekezaji kidogo kwenye hilo eneo ili kuendana na kasi ya teknolojia iliyopo.ndio hiyo land navigation skills..
😀😀😀 walikuwa wanadesa kwa raia wema.. ila geo uikute wame i digitalize ndio utaipenda aisee.. sio sie huku bado tupo kwenye manuary tunaumizana sanaaa...
komaa Usikate tamaa mjeda!😜🤣hahahaha,nishaamua sana rafiki,ila ndo sina zali,nimeamua kbk chtcht
Nimeachia vijanaHahaha.....saivi umehamia Manzese au Tabata kule, manake viwanja ni vingi sana siku hizi

Umekuwa kama Mimi tu, siku hizi nimeamua kutulia na kulea wajukuu tu 😂🙌Nimeachia vijana![]()
Friday flan amaizingView attachment 2130684
😀😀😀 sie nahisi hatuna maadui wakufanya tu invest billions of dollar kwenye weapons na tools za kisasaNadhani hata kwetu huku wanahitaji uwekezaji kidogo kwenye hilo eneo ili kuendana na kasi ya teknolojia iliyopo.
Kama wenzetu wamefika kwenye Robots na Sisi pia inatupasa kukimbia mwendo wao
hahahaha.siwezi rafiki .nawaachia vijanakomaa Usikate tamaa mjeda!😜🤣
hahahaha.siwezi rafiki .nawaachia vijanakomaa Usikate tamaa mjeda!😜🤣
Acha woga !hahahaha.siwezi rafiki .nawaachia vijana
Tazama hako ka video kidogoNadhani hata kwetu huku wanahitaji uwekezaji kidogo kwenye hilo eneo ili kuendana na kasi ya teknolojia iliyopo.
Kama wenzetu wamefika kwenye Robots na Sisi pia inatupasa kukimbia mwendo wao
Very interesting Kwa kweli 👏Tazama hako ka video kidogo
View attachment 2130695