Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
My nasubiri muamula wa JD halafuFriday flan amaizingView attachment 2130684

My nasubiri muamula wa JD halafuFriday flan amaizingView attachment 2130684

We una uzee gani sasa jamani?Umekuwa kama Mimi tu, siku hizi nimeamua kutulia na kulea wajukuu tu![]()
hahahahahaAcha woga !
Huyo mlimbwende atakuwa alimake sana hela kupitia kazi zake za Sanaa, kumiliki gari Kali hivyo with her name on plate number si mchezo 🙌
Vale, unataka kusema umri wangu wa miaka 63 nilionao sio Mzee? 🙈We una uzee gani sasa jamani?
We una uzee gani sasa jamani?
Wewe na yeye kwenye sekta ya ZIGO LA KUVUNJA CHAGA ni hiviView attachment 2130704
Embu tuone😂😂Weeeh Yna2 ni moto wa kuotea mbali! Simfikii hata robo!
Santo sana..upo vizuri kila idara... Mjep Jack Palladino mtu chake Fanyeni muwahiiiii..😘😘😘😘View attachment 2130706ila huu Uzi Jamani..najiona tu kujipa raha
Welcome back shos!!!Mic uuuh kipenziiiih![]()
Fanya kutupia basi tulikumis sana ujue!Hallelujah nimetoka kifungoni, woiiiiiiiih selfika ziendeleeeh![]()
cuteView attachment 2130706ila huu Uzi Jamani..najiona tu kujipa raha
Embu tuone😂😂
Baadae usiku shoz angu, naweka ya kuwa suprise jomoneeee. Mbona nlisha iandaa kabisaa, nkasema siku ya kuwa huru lazima nitoe suprise kwa wana selfika uwiiiiiihFanya kutupia basi tulikumis sana ujue!






