Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Weka mbali na pisiPisi zilimchanganya hadi akaanza kutoa ahadi hewa![]()


Ila ahadi yangu ni ya kweli
Weka mbali na pisiPisi zilimchanganya hadi akaanza kutoa ahadi hewa![]()


Unaanzaje?eeeh... huwezi ongopea mpakwa mafutaaa..![]()
Saint Anne shout Hallelujah for me pleaseewaa tuna resume na ile ingine tuliyo cancel![]()
katakuonea wivu 😁😁😁Saint Anne shout Hallelujah for me please
tena mamaaa pastaaa kabisaa 😃😃😃😊😊Unaanzaje?
Katakondaje ndani ya masaakatakuonea wivu![]()
😃😃😃😃Katakondaje ndani ya masaa
Umeona Nkamu??Nipooooooo
Afadhali yako nimeisikia mpaka huku Central 😄😄 Ngoja nimpange mkuu wa kitengo 🙂Afadhali, Mimi sasa hivi nipo free kabisa.😎
Mamaaaa please irudie nkamuUmeona Nkamu??
Acha utani nkamu, utakua unasinzia wewe baada ya heavy lunch 🤣🤣🤣🤣🤣Mamaaaa please irudie nkamu
Huwezi amini nilinyanyuka tu mara moja, kurudi nakuta manyonyaAcha utani nkamu, utakua unasinzia wewe baada ya heavy lunch
Muite Saint Anne na Khantwe wambie na wao adiondoke
Nilivyo bahili; mbona nimeiwahi ili nisilipe. Ahsante sana nkamu
Ujipange tu kwa huo ugomvi kutoka kwa Saint Anne 🤣🤣🤣🤣🤣Nilivyo bahili; mbona nimeiwahi ili nisilipe. Ahsante sana nkamu
Na wewe fanya namna Nkamu maana watu wako kwenye mishe mishe mida hiiNilivyo bahili; mbona nimeiwahi ili nisilipe. Ahsante sana nkamu