Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwahyo babu wataka niambia kuwa sisi wakina masalago tusiojua kisukuma ni hovwess


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni unyanyapaaji sasa kisa nimekiri sikijui.Nyie wenyewe kiswahili mnaandika kibovu
Mkuu naona umedandia treni kwa mbele. Mimi nilikuwa najaribu kumchokoza/kumfikirisha Gregory 2000 hapo juu


By the way. Kiswahili siyo lugha yetu ya mama hivyo hata tukikiboronga ni sawa. Kamwe usimcheke mtu kwa kuboronga lugha ambayo siyo yake. Unachopaswa kufanya ni kumwelewesha tu tena kwa upole na heshima
 
Sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…