Fortnox
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,160
- 11,214
Hii ndio dinner au just starter
Hii ndio dinner au just starter
Yaani siweziRais, Waziri mkuu, spika.. wakitaka kukutana wote hufunga safari kutoka Dar kwenda dodoma 😎😎😎.. Pa kukutania ni dodoma
Starter tena??? Situlikubaliana kula ni kwa kiasi 🙄🙄Hii ndio dinner au just starter
🥺🥺🥺🥺🥺Yaani siwezi
Hata Kama mama hicho kiasi Sasa kimezidi add someStarter tena??? Situlikubaliana kula ni kwa kiasi![]()
Kaka umekataliwa
Kagomaa kuja.. nitakuna nae mbinguni huyu.. hapa duniani hatutokutana nae tena 😀😀😀😀Kaka umekataliwa
Elegant .. ushua Sana
Kagomaa kuja.. nitakuna nae mbinguni huyu.. hapa duniani hatutokutana nae tena![]()


mbinguni tunagawiwa tu hao viumbe kila mtu anapata sitiniJioni flani unatulia unapata kahawa, akili inatulia baada ya miki miki ya siku nzimaElegant .. ushua Sana
hahahahaha! hajui dodoma ndio tanzaniambinguni tunagawiwa tu hao viumbe kila mtu anapata sitini
Weee....embu nishauri nipunguze zaidi mwili ukate bana😵Hata Kama mama hicho kiasi Sasa kimezidi add some
Nakukubali sana mkuu.. Mungu akupe maisha marefu.. upo simple short and clear 💪💪💪💪Kicheko ni dawa sio 🙂View attachment 2120415
Tupia ka selfi shangazi wa unyamwezini kashinde 😀😀😀🥳..Aahahahaaa hasi na chanya zikikutana....
Dawa Sana , all in all nakukubali Sana una pigo za kitashaKicheko ni dawa sioView attachment 2120415
Huogopi kabisa kuweka hizo emoji?🥺🥺🥺🥺🥺
Tupia ka selfi shangazi wa unyamwezini kashinde 😀😀😀🥳..