Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,840
- 57,483
Okay, hali ya hewa kule Iko poa sana Mkuumara.niliwahi kufika .sehemu inaitwa mazami.karibu na nyakanga
Okay, hali ya hewa kule Iko poa sana Mkuumara.niliwahi kufika .sehemu inaitwa mazami.karibu na nyakanga
🤣🤣🤣🤣Kuna mtaalamu anaitwa Saint Anne huyo ni balaaa ikiwekwa tu chap ameidaka
Hahaaa mkuu usiniamini kwenye kuogelea sijui hata kidogo😂😂, huwa napigia picha tu kwenye maji, ila ntajifunza wewe si unajua eeh. Thank you.Sawa, let's keep in touch.
Ila kuna picha niliona unaogelea, seems unajua. Kwahiyo jiandae kuogelea Ziwani kama utaweza 😂
Geneva of AfricaZinaenda Kila mahali zile gari, ukini uncode fresh
Dada zako HS na Chakorii watakupa mwongozo mwezi kabla ya ndoaTuone elezea vizuri hapo kwenye kutetemeka,
Kwamba baridi itakuwa kali hadi isome negative nyuzi juzi joto![]()
Igweeeeee Igweeee Igweeee Igweeeee Igweeeee IgweeeeeDada zako HS na Chakorii watakupa mwongozo mwezi kabla ya ndoa
HahahahaView attachment 2118279
Guest Viewing LimitationsJF
Nimekomeshwajeeee...
Maana ndo tabia yangu kusoma nyuzi bila ku sign on....

Ulilala mapema sana!..haya tuendelee kuselfika as usual..Lol nililala mida ile ile Leo Ndio naingia saivi! Habari za uzima!![]()

....View attachment 2118395
Tuna jambo letu saa kumi
Ngoja wikii hii ipite, wiki ya bahati hii mkuu😂Njoo kilingeni kwa ushauri nasaha na "mengineyo"

Ngoja wikii hii ipite, wiki ya bahati hii mkuu![]()
BTW hii page imenithibitishia kuna watoto nihumu, I wish I was 25
(kidding)
umenena vema kbs mkuuNgoja wikii hii ipite, wiki ya bahati hii mkuu😂
BTW hii page imenithibitishia kuna watoto ni 🔥🔥🔥 humu, I wish I was 25😂😂😂(kidding)
Doh badae mkuu kidogo nimetingwa tingwa hapa!Ulilala mapema sana!..haya tuendelee kuselfika as usual..![]()
Mkuu tuheshimiane pulizi.Kwa hisani ya Shimba Ya Buyenze View attachment 2118243
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app




