Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Supu flani hivi yani 😎😎😎Kaka yangu wa kishua![]()
Supu flani hivi yani 😎😎😎Kaka yangu wa kishua![]()
Iko wapi mbona sijaiona. Eti wewe ni cheupe, wanyaki weupe eti ni adimu sana?Ya Leo sijaifuta Mkuu, hiyo ya juzi huyu anazingua Anne
Dah kweli zipo sita(6) kama ulivyosema![]()

Uchebe unanawiri tu sis darling, hivi nimeanza kuwa mwanasaikolojia sio!
Iko wapi mbona sijaiona. Eti wewe ni cheupe, wanyaki weupe eti ni adimu sana?
Kama wewe ni SS fan basi tena, huwa sitaki urafiki na hii jezi![]()





nimekutag hapo chini..
sio mweupe ila nna karangi kidogo
Kiukweli ni adimu nadhani sababu kule ni baridi sana
Mbali na hiyo tu wanasemaga huo ukanda ni team Magufuli na hawajawahi kumkubali huyu Mama achilia mbali kukubali kutawaliwa na wanawake! Maana wao wanaamini siku zote mwanamke yuko chini tu na hatakiwi kuongoza popote pale!View attachment 2118283
Wanasemaga watu wa huku sio romantic, mmeona Lugha laini iliyotumika hapo?
Sitaki povu jamani
Nkamu bana, eti karangi wakati ni cheupe peee. Ila baridi letu ni noma mweeh

Nkamu
Lile baridi la Tukuyu huwa naona kama adhabu hasa mwezi wa sita.
Baridi hata juu milimani ipo tu, kwamba Tukuyu kuna baridi Kali kiasi hicho? Mbona birth rate yenu sio kivile, wavivu basi😂nimekutag hapo chini..
sio mweupe ila nna karangi kidogo
Kiukweli ni adimu nadhani sababu kule ni baridi sana
Nkamu baridi la kuitwa kule Makete; hapana jamani, la Mbeya cha mtoto. Ila ukiwa Mbarali unaweza ukahisi haupo Mbeya

Baridi hata juu milimani ipo tu, kwamba Tukuyu kuna baridi Kali kiasi hicho? Mbona birth rate yenu sio kivile, wavivu basi![]()


Makete sijawahi kufika Nkamu
Sehemu pekee ya baridi niliyofika ni Tukuyu basi ndo maana naishangaa![]()
Wa kishua unapiga mambo yako yaaniSupu flani hivi yani 😎😎😎
Bado naisubiri pmYa Leo sijaifuta Mkuu, hiyo ya juzi huyu anazingua Anne
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mwee mwee Nkamu Ubholosi umeanza lini?
Kushinda lazima
Ule mtandao wetu pendwa wa airtel🤗🤗🤗Kesho itabidi nifanye jambo, niambie kabisa mtandao wako, Ila ujuwe sitakutag wala nini...
Leo nalea sitoki ndani!!