Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Ningeongea kuhusu doctrine diversity ya song of songs,, but tuliache mkuuNinachotaka, roho iliyo mu inspire muandishi.. twende kwenye OG manuscripts.. baada ya hapo twende kwenye logos ya hicho ( andiko ), kabla hujaenda kwenye rhema.. kinacho tutofautisha hasa hapa ni kwenye rhema

Sure.. maana hatutofikia mwisho kila mtu akija na udesa wake.. 😀😀😀Ningeongea kuhusu doctrine diversity ya song of songs,, but tuliache mkuu![]()
Hahahaha nomaTungeenda mdogo wangu tukachukue kibundaa eeeh![]()

Amani iendelee kuwa na wewe mkuu shem, nakuelewa sana.
Baada ya 'huduma' ya jana tulikua tunakuongeleka na pisi
Hatukupata jibu kwanini wewe ni unique sana
Tukaishia tu kukisia kuna uwezekano mkubwa wewe ni personal assistant wa Malaika
Rest in peace mh president
Nime mkumbuka sana 😔😔Rest in peace mh president
Duhhh!!hatariiiMama mchungajiiii,naomba maoni yako..View attachment 2119454
Nawaangalia tuMoyo mashine
Hali ya ndoa nyingi ni tete kwa kweli; uaminifu hakuna, ni full kunafikiana. Mungu atusaidieMama mchungajiiii,naomba maoni yako..View attachment 2119454
Nawaangalia tu
🤣🤣🤣🤣Umevaa miwani?