🤣🤣🤣🤣🤣Haihuuu
😀😀😀😀 imenichekesha sana hiyo comment ya Shimba Ya Buyenze alivyojibu
Unashangaa nini Wige?
AsanteKaribu kabisa mdogo wangu.. upate darasa 😊😊😊
Wigelekelo ana mengi moyoni mwakeUnashangaa nini Wige?
maangamizi ya ninidah zana za maangamizi
Inabidi ayaongeeWigelekelo ana mengi moyoni mwake
HayaHapana babe....najaribu tu kuwaza kwa sautiiii
Mkuu. Wewe kweli mtu hamtaniani hata kidogo tena dume jenzio halafu linakutag kwenye post yenye mambo ya kitoto namna hiyo eti kwa hisani yako utasemaje?



Haiko sawa hiyo, ukizingatia kuhusanisha na vitu kama hivyo. Haijaka sawa, heshimu na kuheshimiana muhimu sanaMkuu. Wewe kweli mtu hamtaniani hata kidogo tena dume jenzio halafu linakutag kwenye post yenye mambo ya kitoto namna hiyo eti kwa hisani yako utasemaje?![]()
Wigelekelo umepewa nafasi nafasi njoo uyamwageInabidi ayaongee
Nimeshangaa sana kwa sababu jamaa wala sina matani naye kabisa. Ndiyo. Heshima ni kitu cha bure na mimi huwa sipendi vurugu kabisa. Niko hapa kwa ajili ya matani tu na kusosholaizi wala sinaga ugomvi na mtu. Sijui jamaa kafikiria nini. Labda kalewaHaiko sawa hiyo, ukizingatia kuhusanisha na vitu kama hivyo. Haijaka sawa, heshimu na kuheshimiana muhimu sana




Sure sijawai kuona ukiwa na makuu na mtuu.. tuendele kutaniani lakini lazima kunakuwa na mipaka na nidhamu.. hayo mambo ya aibu kwanzaNimeshangaa sana kwa sababu jamaa wala sina matani naye kabisa. Ndiyo. Heshima ni kitu cha bure na mimi huwa sipendi vurugu kabisa. Niko hapa kwa ajili ya matani tu na kusosholaizi wala sinaga ugomvi na mtu. Sijui jamaa kafikiria nini. Labda kalewa![]()
![]()
Inashangaza sanaWigelekelo ana mengi moyoni mwake
Wacha wee
Wifi yupo vizuri,,nitachukua darsa kwake.
Sure sijawai kuona ukiwa na makuu na mtuu.. tuendele kutaniani lakini lazima kunakuwa na mipaka na nidhamu.. hayo mambo ya aibu kwanza










