Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,222
ππππππππππ!
ππππππππππ!
πkwamba jamaa ndio kakupa hizo KYKwa hisani ya Shimba Ya Buyenze View attachment 2118243
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Simba imenifurahisha jamaniUlisema hatushindi Nkamu?
au huwa unamsponse kweliπ, nimecheka sana,sijui msela kafikiria niniMkuu. Wewe kweli mtu hamtaniani hata kidogo tena dume jenzio halafu linakutag kwenye post yenye mambo ya kitoto namna hiyo eti kwa hisani yako utasemaje?![]()
Mkuu. Wewe kweli mtu hamtaniani hata kidogo tena dume jenzio halafu linakutag kwenye post yenye mambo ya kitoto namna hiyo eti kwa hisani yako utasemaje?![]()



Nimeshangaa sana kwa sababu jamaa wala sina matani naye kabisa. Ndiyo. Heshima ni kitu cha bure na mimi huwa sipendi vurugu kabisa. Niko hapa kwa ajili ya matani tu na kusosholaizi wala sinaga ugomvi na mtu. Sijui jamaa kafikiria nini. Labda kalewa![]()
![]()

Simba imenifurahisha jamani
Hakika hii ni zawadi bora ya Valentine .
Nguvu moja
Namuwakilisha hapa.. ππGregory 2000 Nina jambo lako!
ππππ Shimba Ya Buyenze hafananii na hizo taka takaMimi nilijua wewe ndiyo umemtumia zile bidhaa![]()
Mimi nilijua wewe ndiyo umemtumia zile bidhaa![]()






...Nkamu jamani!
Mambo mazuri yanakuja .Mnoo yaani daah
Bocco kacheza vizuri sijui kwenye Ligi anafeli wapi
Niaje Mkuu
Cocastic atazifaidi hadi rahaππππππππππ!
Bora mmeshinda,unipe pichaπ€£π€£Ulisema hatushindi Nkamu?
Funguka kidogoInashangaza sana
Wanyantuzu...Nkamu jamani!
Mimi ni mtu mzima sana. Japo napenda matani lakini kwenye utoto huo nilishapita zamani mno miaka ya 70/80 huko.
Huyo bwana mdogo sijawahi hata kutaniana naye. Ndo maana nimeshangaa kidogo; na kusema kweli amenivunjia heshima sana ila nimeshamsamehe![]()

Aisee!This day couldn't get any lazier π₯±View attachment 2118609