Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mwanza parefu Sana.

Nimekaa na mkaka mzuri mzuri Sijui kachanganyika na mnyarwanda yule jamani…yani nilikuwa namlalia makusudi.

Mkaka yule kajua kunifupishia safari
Eeeehhh!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yeye ameshukia wapi?
Mbezi au Shekilango???

Nimekumbuka kondakta fulani,wakati gari inaelekea mbezi,akawa anatoa matangazo;tangazo la kwanza akasema "ndio tumefika hivyo, nawakumbusha kuchukua namba..msiseme sikuwaambia"
 
Ashukie mbezi…wewe ulisikia wapi[emoji1][emoji1]wote mpka mwisho wa gari.

Huyo konda ukimuona mwambie aache ukuda..

Siri ya kambi haisemwi[emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila si umekumbuka kuchukua namba[emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
 
Tunalewa leo
20220213_021701.jpg
 
Back
Top Bottom