Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mama Pep njoo tusherekee ushindi for the whole night 😉

3785.jpg
 
Of coz ni ya Geneva of Africa 😄😄 hali ya hewa ina support… bills paid off… ni wao tu kurukiana mpaka waishiwe maji 💃💃
Si ungeenda wewe na mbabebez wako dia why umpe ofa X ilhali waweza enda kujimyayamwaya ba babe wako!!!😳😳😳😳????🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶😜😜😜
 
Mkuu usinipeleke kwenye kuwaza hayo...Acha tu mkuu wangu. Halafu kuna boya huko lishakinai hata halina hamu ya kuufunua huu mtandio dah!
Mkuu acha tuwaze tuu, ndo kitu pekee tunaweza kufanya. Labda kama mwenzangu una namna ya ziada. Me naishia kumuona humu tuu..

Ila haya mambo sijui yamewekewa nini bhana, maana hata ungekua ni wewe kuna wakati ungezoea kuufunua ungeanza kuuona wakawaida kama huyo boya.
 
Mkuu acha tuwaze tuu, ndo kitu pekee tunaweza kufanya. Labda kama mwenzangu una namna ya ziada. Me naishia kumuona humu tuu..

Ila haya mambo sijui yamewekewa nini bhana, maana hata ungekua ni wewe kuna wakati ungezoea kuufunua ungeanza kuuona wakawaida kama huyo boya.
Ishapita kausha!
 
Back
Top Bottom