Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,840
- 57,483
Hii ni ya upande wa Musoma, hapo ilikuwa ni Mwigobero kama umeshawahi kufika.Ipi hiyo?![]()
Hii ni ya upande wa Musoma, hapo ilikuwa ni Mwigobero kama umeshawahi kufika.Ipi hiyo?![]()
Naomba unisendie satooHii ni ya upande wa Musoma, hapo ilikuwa ni Mwigobero kama umeshawahi kufika.
Hakii tena . ....Hapo kwenye kujua mambo hapo😋..Apia!!
Mjini gani??sitaki sasa na situlii, afu uko mjini na huniambii? Ivi nakwama wapi?
Yan raha niliyo nayo natamani nimpe offer X akalale Gran Melia hotel 🤣🤣🤣 na mchepuko wake
umenikumbusha mbali sana, Mwigobero,kitaji nk back in 2005Hii ni ya upande wa Musoma, hapo ilikuwa ni Mwigobero kama umeshawahi kufika.
Kwa haka kahali ka hewa ukimbukia Melia ya chuga utakua umemfaa sana...kesho watatoka magoti yanatetemeka 🤣Yan raha niliyo nayo natamani nimpe offer X akalale Gran Melia hotel 🤣🤣🤣 na mchepuko wake
Twende tukachil Mativila parkHii ni ya upande wa Musoma, hapo ilikuwa ni Mwigobero kama umeshawahi kufika.
just exactly what i was lookin for,😍 sasa usiku wangu unaenda vizuriHave that one ☝️ View attachment 2117756
Of coz ni ya Geneva of Africa 😄😄 hali ya hewa ina support… bills paid off… ni wao tu kurukiana mpaka waishiwe maji 💃💃Kwa haka kahali ka hewa ukimbukia Melia ya chuga utakua umemfaa sana...kesho watatoka magoti yanatetemeka 🤣
Si ungeenda wewe na mbabebez wako dia why umpe ofa X ilhali waweza enda kujimyayamwaya ba babe wako!!!😳😳😳😳????🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶😜😜😜Of coz ni ya Geneva of Africa 😄😄 hali ya hewa ina support… bills paid off… ni wao tu kurukiana mpaka waishiwe maji 💃💃
🤣🤣🤣 ni ofaSi ungeenda wewe na mbabebez wako dia why umpe ofa X ilhali waweza enda kujimyayamwaya ba babe wako!!!😳😳😳😳????🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶😜😜😜
Safi sn..guu la biaHave that oneView attachment 2117756
Maji? Daah...exes lives matter tafadhali 🤣🤣Of coz ni ya Geneva of Africa 😄😄 hali ya hewa ina support… bills paid off… ni wao tu kurukiana mpaka waishiwe maji 💃💃
Mkuu acha tuwaze tuu, ndo kitu pekee tunaweza kufanya. Labda kama mwenzangu una namna ya ziada. Me naishia kumuona humu tuu..Mkuu usinipeleke kwenye kuwaza hayo...Acha tu mkuu wangu. Halafu kuna boya huko lishakinai hata halina hamu ya kuufunua huu mtandio dah!![]()
Ishapita kausha!Mkuu acha tuwaze tuu, ndo kitu pekee tunaweza kufanya. Labda kama mwenzangu una namna ya ziada. Me naishia kumuona humu tuu..
Ila haya mambo sijui yamewekewa nini bhana, maana hata ungekua ni wewe kuna wakati ungezoea kuufunua ungeanza kuuona wakawaida kama huyo boya.