Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Huyu mchezaji jaman kila nikimtazama kuna kitu moyoni kinanifhukuta, hata sijui kwann yaan
Simba imesajiri wachezaji ila huyu ameniingia mno, yaan nmenunua jersey km 4 afu nimeweka chatta ya jina lake, yaan nikiona uwanjan kashka mpira narukwa na akili mno,

Nishawahi kumfata ktk page ya Fb, nilitext kwa kiingereza, sasa yeye akajibu sijui kifaransa sijui kireno,sijui kiitaliano hata sikuelewa, kila nikimchatisha anajibu kwa lugha hata sielew, nliumia mno yaan, siamini km hajui kimalkia ila nahisi alifanya makusudi tyuuh.

Hebu mniambie hiki n nn eti mahondaw na Chakorii mnisaidie kwani. View attachment 2117371
Achana na hayo mambo student!
 
kama mda wa kureport kitandani
IMG_20220212_234537_edit_11205646434747.jpg
 
Back
Top Bottom