Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,386
Nipo hapa. Hata kope sipigi!For you one min... usitoke
Nipo hapa. Hata kope sipigi!For you one min... usitoke
Nimekutumia mwenyewe hapo juu!!Mkuu nami naomba huo mtandio. Nimetagiwa hapo juu lakini umenipita. Fanya kweli kamanda vinginevyo hata ndotoni nitakuwa nawaza mtandio tu!
Mimi na wewe hatuna bahati kbs asee..sijui tunakwama wapiMtandio umenipita tena. Basi siyo ridhiki yangu naona. Hopulesi kabisa yaani![]()
Asante Boss Lady. Hata ukalale sasa. Na kesho nidai zawadi yakoNimekutumia mwenyewe hapo juu!!



Hatutaki valentine ya makasokela(maparachichi) sisi😂😂
@Shimba Ya Buyenze hebu pata picha mtu aliye nyuma yake anaona nini, hebu mtu aliyekaa kwenye kigoda anaona mpaka wapi, maswali ya msingi sana haya.@Shimba Ya BuyenzeView attachment 2117722
Mnataka Valentine ipi soulimeti?Hatutaki valentine ya makasokela(maparachichi) sisi![]()
Asante dok nikukumushe sangapi???Asante Boss Lady. Hata ukalale sasa. Na kesho nidai zawadi yako![]()
Si umeona mwenyewe unaanza kunena kwa lughaYes Bossy lady. Yeeeeeees !!!![]()
Mkuu nifafanulie,Mimi sijaielewa hii picha@Shimba Ya Buyenze hebu pata picha mtu aliye nyuma yake anaona nini, hebu mtu aliyekaa kwenye kigoda anaona mpaka wapi, maswali ya msingi sana haya.
Nini Siri yake, nifahanishe tafadhariMie huwa naanzaga kuangalia vidole vya miguuni.. kama vimenyooka virefu vimebanana basi nimeisha.. akili inawaka
Mkuu usinipeleke kwenye kuwaza hayo...Acha tu mkuu wangu. Halafu kuna boya huko lishakinai hata halina hamu ya kuufunua huu mtandio dah!@Shimba Ya Buyenze hebu pata picha mtu aliye nyuma yake anaona nini, hebu mtu aliyekaa kwenye kigoda anaona mpaka wapi, maswali ya msingi sana haya.



🤣🤣🤣🤣🤣 Weww ni mwehu ujue!@Shimba Ya Buyenze hebu pata picha mtu aliye nyuma yake anaona nini, hebu mtu aliyekaa kwenye kigoda anaona mpaka wapi, maswali ya msingi sana haya.
🤭🤭🤭🤭🤭🤭🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶!Mkuu usinipeleke kwenye kuwaza hayo...Acha tu mkuu wangu. Halafu kuna boya huko lishakinai hata halina hamu ya kuufunua huu mtandio dah!![]()
Wewe chocolates na ice creams zote hizo hujaona hadi utupe maparachichi jamani, unatuonaje wanyaki kwani😂Mnataka Valentine ipi soulimeti?
Hapo kwenye kujua mambo hapo😋..Apia!!Kabisa dok afu anajua mamboz si mchezo!!😜