Mkuu hao Ladies unaotaka waexplain ni sisi binadamu ama hao dance fliesJe wajua ili dance fly wa kiume apewe nafasi ya mating na dance fly wa kike ni LAZIMA aje na zawadi "Nuptial gift"
Ladies any explanation on this??View attachment 2115132
@Karma wa RRONDOMkuu hao Ladies unaotaka waexplain ni sisi binadamu ama hao dance flies

Huhuhuhuh kaka angu huyoooo,


Nini tena jamani![]()
@heaven sent love uNimecheka tu eti nkamu. Basi nirahisishe tu "ahsante sana"
Nawee yako dea, nmemic kukuonasiku ukifika kwenye macho niite
Am so obsessed with eyes…



Mimi nilikua naogopa kunyoa nilikua najua kakichwa kangu kadogo nitatisha. Sasa hivi nimenyoa na naenjoy nywele fupi balaa. Wig navaa ofisini tu nikirudi mtaani na nazurura na nywele fupi kama kawaView attachment 2114826






Dea




Resty park babecueMimi nilikua naogopa kunyoa nilikua najua kakichwa kangu kadogo nitatisha. Sasa hivi nimenyoa na naenjoy nywele fupi balaa. Wig navaa ofisini tu nikirudi mtaani na nazurura na nywele fupi kama kawaView attachment 2114826
Wakunyumba no 7 wacha wee, tena ilibidi iwepo ndan ya top 5 lol.#Jewajua?
Utafiti uliofanywa na WAMA unaonyesha kuwa ndoa za vijijini ndio zinadumu kuliko za mijini pia unaeleza kuwa ndoa zinazofungishwa kimila ndio zinadumu kuliko zinazofungishwa kidini na kikatiba (kanisani miskitini na mahakamani)
Utafiti unaonyesha wanawake wa makabila 20 bora Tanzania wanaodumu kwenye ndoa kama ifuatavyo.
1.Wasukuma 97.02%
2.Wakurya 96.99%
3.Wamasai 94.07%
4.Wahehe 89.25%
5.Waha 89.23%
6.Wamatengo 89.01%
7.Wangoni 88.00%
8.Wachaga 87.99%
9.Wafipa 87.82%
10.Wahangaza 85.05%
11.Wakinga 85.03%
12.Wabena 85.01%
13.Wamang'ati 83.08%
15.Wapare 79.00%
16.Wahaya 56.31%
17.Wanyamwezi 50%
18.Wajita 43.07%
19.Wagogo 40.92%
20.Wasambaa 39.78%.
Utafiti huu umefanyika kwa miaka 25 kwa kufaatilia ndoa ambazo zinadumu mfano asilimia 88 ya wanawake wa kingoni ambao waliolewa walidumu kwenye ndoa zao tangu utafiti uanze na 12% waliachika
lengo la utafiti ni kubaini mila ambazo zinaathiri ndoa katika jamii ili kutatua tatizo la kuvunjika kwa ndoa ambao huaathiri watoto.
Wanyaki hawamo kwenye top 20?. Why?




Nilimanisha na ww n mtu wa Moro (tribe) au vp?Kivipi![]()