Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Huu mguu/Hii miguu imebeba vitu vya kienyeji vingi sana
Ni sawa kabisa lakini akumbuke huko wanawake hawana muda wa kupika, kufua, kulea watoto, na wala kumtengea mume maji ya kuoga! Watoto wengi wanalelewa na nannies na maisha yanaenda poa tu na majukumu ya nyumbani ni ya wote siyo ya mwanamke tu kitu ambacho wanaume wengi wa kiafrika hawataki kukisikia, kwahiyo wavumilie tu maana ndiyo mgawanyo wa majukumu wanaoutaka huo wataendelea kupewa boxer hadi akili zitakapowarudi!
Mkuu wewe ni kabila gani if you don't mind


NdioJambo gani?
Kula korosho??![]()
Wewe huyuAisee huyu mtu chake ,jana amenijazia sifa kede kede wakati sipo hivyo kabisa.

Roho mbayanikiiona mimi unaweza ukaitoa.....![]()


😂😂😂Welcome dear welcomeSasa mimi not ready to mingle![]()
Sio mwongoWewe huyu
Usiniambie
Eti ni mwongo
kwani nilisema uongo?Aisee huyu mtu chake ,jana amenijazia sifa kede kede wakati sipo hivyo kabisa.
wakubwa wanafaidi
nzuri.ingawa km unazijua hz postkodi ziko ktk national id
Dogo🤣🤣🤣🤣🤣Hakuna matako yoyote![]()